Rais Samia atua Chuo cha Taifa cha Ulinzi na kutoa Mhadhara juu ya Falsafa yake ya 4R katika kuongoza serikali yake

Nakumbuka baada ya kumaliza form 4 miaka ile niliwahi kwenda hapo kuulizia nafasi za kusoma, ..

😁😁
 
Kuhusu ulinzi na usalama na ustawi wa biashara na Madai ya wafanyabishara waliofunga biashara zao kasemaje mleta mada Mwashambwa tupe mrejesho wewe uliyemsikiliza na uliyekuwa na muda wa kumsikikiliza
 
Amegusia hata kidogo mambo ya mpina na bashe, Je? Yeye yuko upande upi kati bashe na mpina? Vipi amegusia pia na inshu za wafanyabiashara kufunga biashara zako, Je hiyo 4R inapunguzaje madeni ya nchi?
Hayo kawaachia msoga and co wamalizane
 
Kuhusu ulinzi na usalama na ustawi wa biashara na Madai ya wafanyabishara waliofunga biashara zao kasemaje mleta mada Mwashambwa tupe mrejesho wewe uliyemsikiliza na uliyekuwa na muda wa kumsikikiliza
Viongozi wote wa wafanyabiashara wamefanya mazungumzo mazuri na yenye afya na yenye matunda na Mheshimiwa Waziri Mkuu pale jijini Dodoma.
 
Mleta mada watu Sasa hizi tumejikita kwenye biashara kufungwa na issue za Kenya wewe inatuletea vitu non issue Kwa muda uliopo ambavyo ni kaa la moto

Unaleta mada irrelevant Kwa Wakati uliopo Mjinga wewe
 
Viongozi wote wa wafanyabiashara wamefanya mazungumzo mazuri na yenye afya na yenye matunda na Mheshimiwa Waziri Mkuu pale jijini Dodoma.
Mbona maduka hayajafunguliwa na yanaendekea tu kufungwa mikoa mbalimbali non-stop
 
Mleta mada watu Sasa hizi tumejikita kwenye biashara kufungwa na issue za Kenya wewe inatuletea vitu non issue Kwa muda uliopo ambavyo ni kaa la moto

Unaleta mada irrelevant Kwa Wakati uliopo Mjinga wewe
Nenda kenya ukaungane na wakenya wenzako.sisi Watanzania tunamsikiliza Rais wetu mpendwa na tuna imani na matumaini makubwa sana na uongozi wake pamoja na serikali yake.ndio sababu ya kuwa wasikivu na kumwamini pamoja kuendelea kumuunga mkono
 
Mwashambwa AKA mke wa bashite mwambieni mama kizimkazi ya Kenya hayako mbali aendelee kujizima Data hivyo hivyo
 
Nimebubujikwa na machozi ya furaha kumuona mama
Falsafa gani haina lengo la kuendeleza kiuchumi tabaka la wavuja jasho ambao ndio raia waliyo wengi. Hiyo ni falsafa yake binafsi sio ya CCM. Inawapa shaka wanaccm asilia. Anachofanya ni kukoroga msimamao na falsafa rasmi ya ccm. Huwezi kua na upatano na kila tabaka wakati kuna tabaka lenye kutaka wao kushika dola kwa manufaa yao wenyewe. Wapo tabaka lenye mshikamano na ubepari na ubeberu wa kimataifa. Malengo ya makundi kama hayo ni hatari kwa uhuru wa taifa yakishika na kuongoza dola.
 
Blaza mie nabubujikwa machozi mengine sijui.........
 
Resilience ambayo watu wakikosoa wanaonekana sio wazalendo? Reform ya ile tume yauchaguzi isiyofuata maoni ya wananchi?Reconciliation ipi iliyofanyika?
 
Hivi yupo? Ama kweli Tumemchoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…