Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huna akiliAnatosha kwa sababu ametosheleza na kukidhi matarajio ya watanzania na kukata kiu waliyokuwa nayo watanzania juu ya aina ya Rais waliue mhitaji. Rais Samia ni jibu na jawabu kwa mahitaji ya watanzania.
Kwanini unamtishia kua akiendelea utamfanya kitu mbaya?Mchokozi ni yeye hata kama sijamsemesha huwa ananianza
Sijamtishia namuonya aache ujinga wakeKwanini unamtishia kua akiendelea utamfanya kitu mbaya?
Hasipoacha utamfanya nini sasa?Sijamtishia namuonya aache ujinga wake
Majibu anayo na ananijua vizuri ndiyo maana hawezi kuendelea kuleta ujinga wake tenaHasipoacha utamfanya nini sasa?
Usimtishe Lucas wangu tena!Majibu anayo na ananijua vizuri ndiyo maana hawezi kuendelea kuleta ujinga wake tena
Kichwa Cha habari hakilingani na huo mlolongo wa maelezo.Nimebubujikwa na machozi ya furaha kumuona mama
Mkuu sijamtisha namuonya hata yeye ananielewa vizuri tunafahamiana vizuri sn, bahati nzuri nikienda ofisi ya Katibu UWT Chunya huwa ananipokea vizuri tofauti na ujinga anaoandika humuUsimtishe Lucas wangu tena!
Yeye ni wa kiume, katibu UWT kafata nini?Mkuu sijamtisha namuonya hata yeye ananielewa vizuri tunafahamiana vizuri sn, bahati nzuri nikienda ofisi ya Katibu UWT Chunya huwa ananipokea vizuri tofauti na ujinga anaoandika humu
Ni PS wa UWT Wilaya ya Chunya ni dada angu namjua vzr sn, siwezi kumpenda mtu mjinga kama yuleYeye ni wa kiume, katibu UWT kafata nini?
Nyie mnajuana deep down mnapendana
Kumbe wewe ni wifi yangu?Ni PS wa UWT Wilaya ya Chunya ni dada angu namjua vzr sn, siwezi kumpenda mtu mjinga kama yule
Mkuu tafadhali usinivunjie heshimaKumbe wewe ni wifi yangu?
Umeandika nini au ni mim sijaelewaKasome bachelor ya Security and strategic studies Chuo cha IAA arusha utapata mwanya wa kwenda degree hapo national defence college
Naomba unisamehe!Mkuu tafadhali usinivunjie heshima
We unamfahamu kuliko mimi?Naomba unisamehe!
Ulivyomuita Lucas ni dada yako unadhani nilijisikia vizuri!?
Ndio! Yeye ni mwanaumeWe unamfahamu kuliko mimi?
Muulize yeye mwenyewe, hujui kama ni PS wa UWT Chunya?Ndio! Yeye ni mwanaume
Wewe ndiye chiziHuyu chizi huwa sina utani naye
Acha ukichaa wako dogoMuulize yeye mwenyewe, hujui kama ni PS wa UWT Chunya?