Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
🤣😂ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜Lucas ni kweli una mke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😂ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜Lucas ni kweli una mke?
Ruka naye huyu kilazaUmenianza? subiri
Huyu mbwiga anakutafutia banSawa unachokitafuta utakipata leo leo
Namjua vizuri sn huwa nampa haki akeHuyu mbwiga anakutafutia ban
Ananijua vzr ndiyo maana nimemuonya akapotea chapRuka naye huyu kilaza
Bora ukose vyote lakini upewe akili. Lakini ndio hivyo Wewe umenyimwa akili na Mungu.Ananijua vzr ndiyo maana nimemuonya akapotea chap
Rais Samia anaweza kufanya mhadhara mahali popote paleItapendeza kama Dr Samia awe keynote speaker au atoe presentation ama public lecture kwenye vyuo mbalimbali kuhusu strategic development plan. Amoe kafulila au dr aliyekuwa esrf amuamdalie presentation. Iwe na takwimu, projections na expected results.
Angeanza na Uongozi intitute, NDC, CFR, Udms, mzumbe, TIA, Mwl Nyerere uni of technology haya mambo kagame anayafanya sana ndani na nje ya Rwanda anaalikwa
Lucas hujawahi kuwa na akili wewe ni msukule tu.Bora ukose vyote lakini upewe akili. Lakini ndio hivyo Wewe umenyimwa akili na Mungu.
Huyu mbwiga anakutafutia ban
Ananijua vzr ndiyo maana nimemuonya akapotea chap
😂Mnanivunjaga mbavu zangu!Bora ukose vyote lakini upewe akili. Lakini ndio hivyo Wewe umenyimwa akili na Mungu.
Dogo Lucas anazingua sana na anazidi kuwa mkuda😂Mnanivunjaga mbavu zangu!
Mtu atadhani mpo serious kumbe maigizo tu
Mnajuana nyie!Dogo Lucas anazingua sana na anazidi kuwa mkuda
Sijamaliza hata kusoma hili andiko lako la chooni, ila fikra za vijana Kama wewe imenifanya niamini hili taifa watu wanaugua ugonjwa wa akili bila kujijua.Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi,Rais anayeheshimika na kupendwa na watanzania kwa kiwango cha juu utafikiri pesa,hii leo ametua na kuingia ndani ya chuo cha Taifa cha Ulinzi na kupata mapokezi mazito kwelikweli na ya heshima ya hali ya juu sana.
Ambapo akiwa chuoni hapo Mheshimiwa Rais wetu mpendwa ameweza kutoa Mhadhara Mzito sana wa uzani wa juu na kidunia juu ya Falsafa yake ya 4R katika kuongoza serikali yake.ikumbukwe falsafa hiyo ndio imeshuhudia na kuwawezesha wapinzani na vyama vyote vya siasa kupanda majukwaani na kufanya siasa.
Ni kupitia falsafa hiyo imewezesha wapinzani waliokuwa wamekimbia nchi na kuishi uhamishoni kuweza kurejea Nchini kifua mbele na kuishi nchini mwao bila hofu wala wasiwasi,ni kupitia falsafa hizo tumeshuhudia umoja wa kitaifa ukiimarika na kuwa na nguvu kuliko wakati wowote ule.
Ni kupitia falsafa hiyo leo hii hakuna Mwanasiasa ambaye yupo gerezani kwa kesi ya kisiasa, wala kufungwa pingu kwa maonezi na kusafirishwa kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine, wala mtu kulala na wasiwasi ya kugongewa na kuvunjiwa mlango na hatimaye kukamatwa usiku wa manane kama Jambazi sugu la mauaji.
Ni kupitia falsafa hiyo tumeshuhudia vyama vya siasa hapa nchini vikikaa kwa pamoja katika meza moja ya mazungumzo kunywa maji na kula chakula kwa pamoja na kuzungumza masuala mbalimbali juu ya mstakabali wa Taifa letu na mwisho kupeana mikono kwa amani na upendo.
Ni kupitia falsafa hiyo tumeshuhudia umoja, mshikamano,upendo na udugu ukiongezeaka na kuimarika sana miongoni mwa Watanzania pamoja na kuongezeka kwa moyo wa uzalendo kwa Taifa letu na kupendana sisi kwa sisi bila kujali itikadi zetu za kisiasa.ndio sababu kazi zinaendelea vyema, maendeleo yanapatikana kila Secta,uchumi wetu unakua kwa kasi,watalii wanaendelea kumiminika nchini kufikia millioni 1.8,mapato yanaendelea kuongezeka,biashara zinaendelea kuongezeka.
Ni kupitia falsafa hiyo tunaona Amani na utulivu vinaendelea kutamalaki na kushamiri hapa nchini.hiyo yote ni kazi ya Mikono ya Jemedari wetu na Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan jasiri muongoza njia na shujaa wa Afrika,mama wa shoka,chuma cha Reli kiongozi imara na hodari katika uongozi.hii yote ni akili ,upeo na maarifa makubwa ya kiuongozi aliyo nayo Rais wetu kipenzi.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni mwana ila anazingua sana, jana nilimrushia kiteni ndiyo akaingia humu,dogo ni mkuda sana.Mnajuana nyie!
Kwanini huwezi kuishi humu jf bila yeye? Kwanini unampenda wewe na Benjamini
Jana ulimmiss wewe😂🤸
Ukimjua mtu hakupi shidaNi mwana ila anazingua sana, jana nilimrushia kiteni ndiyo akaingia humu,dogo ni mkuda sana.
kwel kuna watu mnajitoa ufahamu,Nimebubujikwa na machozi ya furaha kumuona mama
Haina shida haya ndiyo maisha aliyoyachagua mwenyewe hivyo ni ruksa kwake kujichawisha.Ukimjua mtu hakupi shida
Lucas anachangamsha jukwaa la siasa tumuache, akiondoka tutammiss huyu😂
Nyie CCM hamna akili kabisaaaaaNyie chadema mna akili fupi yaani mtu akimkubali rais samia bhc ni chawa ,,sasa mm mtanzania na samia ndio rais wetu kwann nimkatae ,samia 2025 atapita na mtabaki na chuki zenu mpk mpate ugonjwa wa moyo maana kukaa na kinyongo kwa miaka 10 c mchezo