Rais Samia atua Chuo cha Taifa cha Ulinzi na kutoa Mhadhara juu ya Falsafa yake ya 4R katika kuongoza serikali yake

Rais Samia atua Chuo cha Taifa cha Ulinzi na kutoa Mhadhara juu ya Falsafa yake ya 4R katika kuongoza serikali yake

Mke wangu ni wewe tu ephen lazizi wangu. Nitaalika kamati kuu na secretarieti nzima kuja kwenye harusi yetu ,huku wewe ukiwa umependeza vizuri kabisa na vazi la kijani na ukumbi mzima ukipigwa na kulindima ule wimbo wa marehemu komba wa Sasa Kumekuchaaaa. Kwa hakika siku hiyo utakuwa ukibubujikwa machozi ya furaha muda wote utafikiri umemwagiwa pilipili iliyosagwa machoni pako.kazi yangu itakuwa ni kukufuta tu machozi.
Kama una make nawatoto nawahurumia sana wanababa chawa yaani mpaka ulambe miguu ya wenzio ndo wanao waende chooni ,,,,,nachojiuliza shuleni mlienda kufata Nini??? Elimu inawasaidia Nini?? Jitahidi uwe mwanaume wa mfano,,,tukikuangalia tunajua labda unapelekewa moto
 
Kama una make nawatoto nawahurumia sana wanababa chawa yaani mpaka ulambe miguu ya wenzio ndo wanao waende chooni ,,,,,nachojiuliza shuleni mlienda kufata Nini??? Elimu inawasaidia Nini?? Jitahidi uwe mwanaume wa mfano,,,tukikuangalia tunajua labda unapelekewa moto
Umeishiwa hoja na kuanza kuweweseka.kufa tu maana huna faida yoyote ile hapa Duniani
 
Back
Top Bottom