Rais Samia atuma salamu za pole kufuatia kifo cha mzee Kassum

Kama ni ivo Basi alijitahidi Mimi ni mmoja wa wanufaika chuo kinaitwa IIT Roorkee.
 
Kama ni ivo Basi alijitahidi Mimi ni mmoja wa wanufaika chuo kinaitwa IIT Roorkee.

..hongera.

..Roorkee ni moja ya vyuo vikuu vinavyoheshimika sana India.

..kuna jamaa nawafahamu walisomea Engineering Roorkee Univ miaka ya 80.

..nadhani miaka hiyo Roorkee ilikuwa bado haijawa IIT.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…