Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uturuki aliishi Bikira Mariam na Rais alipokwenda Vatican alimkabidhi Baba Mtakatifu Papa Francisco Zawadi ya RozariAnkara | 17.04.2024 🇹🇿🇹🇷
Baraza la Seneti la Chuo Kikuu cha Ankara, chuo kikuu cha pili kwa ukubwa nchini Türkiye, limeamua kwa kauli moja kumtunuku Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Uchumi kwa kutambua uongozi wake wa kipekee katika kuendeleza mageuzi ya kijamii, kisiasa na kiuchumi ambayo yameboresha ustawi wa jamii. Watanzania, waliimarisha sifa ya Tanzania duniani kote na kuendeleza uhusiano wa kibiashara, kiuchumi na kisiasa kati ya Tanzania na nchi nyingine, ikiwa ni pamoja na Türkiye. Hafla ya kutunuku tuzo hiyo itafanyika kesho tarehe 18 Aprili 2024, saa sita mchana, katika Chuo Kikuu cha Ankara na itaongozwa na uongozi mzima wa chuo hicho na kuhudhuriwa na mawaziri, wanadiplomasia, kitivo na wanafunzi.
Baadaye wakati wa mchana, Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan atapokelewa rasmi na mwenyeji wake, Mheshimiwa Rais Recep Tayyip Erdoğan katika Ikulu ya Rais kwa mazungumzo rasmi na Karamu ya Jimbo. Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kisha atasafiri hadi Istanbul, mji mkuu wa biashara wa Türkiye, kwa Kongamano la Biashara na viongozi wa wafanyabiashara wa Uturuki, ambalo pia litahudhuriwa na Makamu wa Rais wa Türkiye na Mawaziri.
Ankara | 17.04.2024 🇹🇿🇹🇷
The Senate of Ankara University, the second largest university in Türkiye, has unanimously decided to award an Honorary Doctorate in Economics to Her Excellency President Samia Suluhu Hassan in recognition of her exceptional leadership in advancing social, political and economic reforms that have improved the welfare of Tanzanians, enhanced Tanzania reputation around the world and developed commercial, economic and political relations between Tanzania and other countries, including Türkiye. The award ceremony will take place tomorrow, on the 18 April 2024, at noon, at Ankara University and will be presided by the entire leadership of the university and attended by ministers, diplomats, faculty and students.
Later during the day, Her Excellency President Samia Suluhu Hassan will be officially received by her host, His Excellency President Recep Tayyip Erdoğan at the Presidential Palace for official talks and State Banquet. Her Excellency President Samia Suluhu Hassan will then travel to Istanbul, a business capital of Türkiye, for a Business Forum with Turkish business leaders, which will also be attended by the Vice President of Türkiye and Ministers.
Pia soma: Rais Samia kutunukiwa Udaktari wa heshima katika Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Ankara Uturuki
Si unaona bungeni anavyochangia na kushusha nondo 😄BABU TALE NAYE ANA PHD NI DARASA LA 7.JE PHD YAKE INASAIDIA NIN NCHI? VP BDO KILA KIONGOZI ANAKULA KWA UKUBWA WA KAMBA YAKE,NA JE SISI RAIA WA KAWAIDA TUTAKULA KWA KAMBA IPI?
Uchumi wa India mfano unakuwa kwa zaidi ya asilimia 7 ni moja ya uchumi unaokuwa kwa kasi ya kutisha Duniani, ila huwezi kuta Waziri Mkuu wa India anatunukiwa Udakitari wa Heshima.Ankara | 17.04.2024 [emoji1241][emoji1250]
Baraza la Seneti la Chuo Kikuu cha Ankara, chuo kikuu cha pili kwa ukubwa nchini Türkiye, limeamua kwa kauli moja kumtunuku Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Uchumi kwa kutambua uongozi wake wa kipekee katika kuendeleza mageuzi ya kijamii, kisiasa na kiuchumi ambayo yameboresha ustawi wa jamii. Watanzania, waliimarisha sifa ya Tanzania duniani kote na kuendeleza uhusiano wa kibiashara, kiuchumi na kisiasa kati ya Tanzania na nchi nyingine, ikiwa ni pamoja na Türkiye. Hafla ya kutunuku tuzo hiyo itafanyika kesho tarehe 18 Aprili 2024, saa sita mchana, katika Chuo Kikuu cha Ankara na itaongozwa na uongozi mzima wa chuo hicho na kuhudhuriwa na mawaziri, wanadiplomasia, kitivo na wanafunzi.
Baadaye wakati wa mchana, Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan atapokelewa rasmi na mwenyeji wake, Mheshimiwa Rais Recep Tayyip Erdoğan katika Ikulu ya Rais kwa mazungumzo rasmi na Karamu ya Jimbo. Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kisha atasafiri hadi Istanbul, mji mkuu wa biashara wa Türkiye, kwa Kongamano la Biashara na viongozi wa wafanyabiashara wa Uturuki, ambalo pia litahudhuriwa na Makamu wa Rais wa Türkiye na Mawaziri.
Ankara | 17.04.2024 [emoji1241][emoji1250]
The Senate of Ankara University, the second largest university in Türkiye, has unanimously decided to award an Honorary Doctorate in Economics to Her Excellency President Samia Suluhu Hassan in recognition of her exceptional leadership in advancing social, political and economic reforms that have improved the welfare of Tanzanians, enhanced Tanzania reputation around the world and developed commercial, economic and political relations between Tanzania and other countries, including Türkiye. The award ceremony will take place tomorrow, on the 18 April 2024, at noon, at Ankara University and will be presided by the entire leadership of the university and attended by ministers, diplomats, faculty and students.
Later during the day, Her Excellency President Samia Suluhu Hassan will be officially received by her host, His Excellency President Recep Tayyip Erdoğan at the Presidential Palace for official talks and State Banquet. Her Excellency President Samia Suluhu Hassan will then travel to Istanbul, a business capital of Türkiye, for a Business Forum with Turkish business leaders, which will also be attended by the Vice President of Türkiye and Ministers.
Pia soma: Rais Samia kutunukiwa Udaktari wa heshima katika Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Ankara Uturuki
Pia hizi Dakitari za HEshima wanatunuku wale Viongozi wanao Wafurahisha tu na sana ni Africa.Mtego huo, tunazidi kujaa tunduni, hivi hawa si ndo wanajenga reli ya mwendokasi???
ni zaidi ya ujingaUjinga mtupu.
Hizi Degree za heshima wanawapa viongozi wa Africa pekee, Kule Asia huwezi kuta huu ujinga.Hizi ndizo Shanga na chumvi za kileo walizokuwa wakitunukiwa viongozi wa enzi zile za giza. Leo hii bado tunao viongozi ambao hawana tofauti yoyote na wale wa enzi zile.
Hongera kwake huyo aliyetunukiwa. Atapendeza sana akizivaa hizo shanga mpya.
Hizi ni kwa ajili Africa Mkuu,Lakini hawa watu huwa wanatuchukuliaje? Mbona haijawahi kusikika wao wakitunukiwa hizo PHD huku kwetu wanapokuwa na ziara?
Yule ni mjingaYaan nilishangaa sana Jana msukuma yule Mbunge wa ushetu sijui kishetu anajisifia kua yeye ni Daktari wa Akili tena bungeni yaan anajimwambafai kabisa kumbe udaktari wa kupewa sio wa kusomea huu ni usengekisenge
Wamepiga hela wakaona wampofushe kwa PhD ya uchumi fake
Ndio lengo kuuWanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu ili wamlaghai na mikataba ya kindezi ya kugawa kama pipi rasimali za watanzania kwa wageni. Hakuna uchumi wowote alioufufua hapa Tanzania. Japokuwa amefanikiwa kuifungua nchi iliyokuwa kifungoni chini ya utawala kandamizi wa Magufuli na Samia akiwa makamu wake wa rais!
Ndio mambo viongozi wa Africa wanapendaHawa jamaa wameishajua udhaifu wa mtu mweusi, Mpe sifa za kijinga na vyeo asivyokuwa navyo
Imekuuma?Uchumi wa India mfano unakuwa kwa zaidi ya asilimia 7 ni moja ya uchumi unaokuwa kwa kasi ya kutisha Duniani, ila huwezi kuta Waziri Mkuu wa India anatunukiwa Udakitari wa Heshima.
Hizi ni hadaa na wanatunukia Viongozi wa Theid world countries hasa za Africa.
Siku hizi waturuki Tanzania wamekuwa kama wachina na wanyasa yaani wengi mno kuanzia kwenye makampuni ya ujenzi mpaka machinga wa vyombo tena mpaka majumbani.Ankara | 17.04.2024 🇹🇿🇹🇷
Baraza la Seneti la Chuo Kikuu cha Ankara, chuo kikuu cha pili kwa ukubwa nchini Türkiye, limeamua kwa kauli moja kumtunuku Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Uchumi kwa kutambua uongozi wake wa kipekee katika kuendeleza mageuzi ya kijamii, kisiasa na kiuchumi ambayo yameboresha ustawi wa jamii. Watanzania, waliimarisha sifa ya Tanzania duniani kote na kuendeleza uhusiano wa kibiashara, kiuchumi na kisiasa kati ya Tanzania na nchi nyingine, ikiwa ni pamoja na Türkiye. Hafla ya kutunuku tuzo hiyo itafanyika kesho tarehe 18 Aprili 2024, saa sita mchana, katika Chuo Kikuu cha Ankara na itaongozwa na uongozi mzima wa chuo hicho na kuhudhuriwa na mawaziri, wanadiplomasia, kitivo na wanafunzi.
Baadaye wakati wa mchana, Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan atapokelewa rasmi na mwenyeji wake, Mheshimiwa Rais Recep Tayyip Erdoğan katika Ikulu ya Rais kwa mazungumzo rasmi na Karamu ya Jimbo. Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kisha atasafiri hadi Istanbul, mji mkuu wa biashara wa Türkiye, kwa Kongamano la Biashara na viongozi wa wafanyabiashara wa Uturuki, ambalo pia litahudhuriwa na Makamu wa Rais wa Türkiye na Mawaziri.
Ankara | 17.04.2024 🇹🇿🇹🇷
The Senate of Ankara University, the second largest university in Türkiye, has unanimously decided to award an Honorary Doctorate in Economics to Her Excellency President Samia Suluhu Hassan in recognition of her exceptional leadership in advancing social, political and economic reforms that have improved the welfare of Tanzanians, enhanced Tanzania reputation around the world and developed commercial, economic and political relations between Tanzania and other countries, including Türkiye. The award ceremony will take place tomorrow, on the 18 April 2024, at noon, at Ankara University and will be presided by the entire leadership of the university and attended by ministers, diplomats, faculty and students.
Later during the day, Her Excellency President Samia Suluhu Hassan will be officially received by her host, His Excellency President Recep Tayyip Erdoğan at the Presidential Palace for official talks and State Banquet. Her Excellency President Samia Suluhu Hassan will then travel to Istanbul, a business capital of Türkiye, for a Business Forum with Turkish business leaders, which will also be attended by the Vice President of Türkiye and Ministers.
Pia soma: Rais Samia kutunukiwa Udaktari wa heshima katika Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Ankara Uturuki
Naona hujaelewa sijui huko shule ulienda kusomea ujinga!!Safi sana, wanatuonesha jinsi tulivyozubaa.
Waafrica tumekuja kuzurura alafu tufe ili tuende ahera tupate bikira 72 na kuimba kwa yesu milele na milele.Hawa jamaa wameishajua udhaifu wa mtu mweusi, Mpe sifa za kijinga na vyeo asivyokuwa navyo