Rais Samia avunja rekodi ununuzi wa ambulance na magari ya Chanjo

Rais Samia avunja rekodi ununuzi wa ambulance na magari ya Chanjo

Serikali ya awamu ya 6 ni serikali ya chama kilekile CCM kwa miaka60 sasa, na ni matokeo ya serikali ya awamu ya 5 kwa asilimia 100.

Tusisahau SSH alikua namba2 kwenye serikali ya JPM na ndio maana akaja na kauli mbiu ya KAZI IENDELEE

Tukiweza kupongeza mafanikio yake bila kulazimisha kumpambanisha na kumfananisha SSH na JPM tutaisaidia nchi yetu na tutamsadia zaidi Rais wetu leo, kesho na miaka ijayo

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote
 
Magufuli alinunua kwa fedha za ndani, nyie mnanunua hivyo vitu kwa pesa za mkopo na Tozo. Pesa za Mkopo siyo kipimo cha utendaji
Kwa mapato gan mzee tupe takwimu.... Why deni la taifa limeongezeka?
 
Serikali ya awamu ya 6 ni serikali ya chama kilekile CCM na ni matokeo ya serikali ya awamu ya 5 kwa asilimia 100...

mama D ,

Tuendelee kuipigania nchi yetu kesho yetu ni bora sana kuliko leo yetu,

Tuendelee kumuunga mkono Rais wetu,


#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Je, hiyo ni priority? 2025 atavuna mabua.
 
lete evidence mkuu,

Mapato mbona nimeainisha hapo?...
Is not true kwamba mapato ya ndani ndio yalifanya tuendelee wakati kupitia mapato ya ndani hata 50%hatujafika pia kama alikuwa anatumia mapato ya ndani why deni liliongezeka katika utawala wake?
 
Je, hiyo ni priority? 2025 atavuna mabua.
Unaona gari la wagonjwa sio priority kweli mkuu?

Kwani wewe unaishi nchi gani?

Wangapi wanafia njiani kwa kukosa ambulance ?

Wanaojua umuhimu wa ambulance watamchagua bila shaka,

Raisc Samia amewashika pabaya sana nyie pingapinga


#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Is not true kwamba mapato ya ndani ndio yalifanya tuendelee wakati kupitia mapato ya ndani hata 50%hatujafika pia kama alikuwa anatumia mapato ya ndani why deni liliongezeka katika utawala wake?
Nadhani sikukuelewa vema am sorry,


#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Unaona gari la wagonjwa sio priority kweli mkuu?

Kwani wewe unaishi nchi gani?....
Amalize HPP pamoja na SGR mengine baadaye. ie miradi ya kimkakati ndio itaondoa hii nchi kwenye matatizo yaliyokubuhu.
 
Magufuli alinunua kwa fedha za ndani, nyie mnanunua hivyo vitu kwa pesa za mkopo na Tozo. Pesa za Mkopo siyo kipimo cha utendaji
Magufuli gani aliyenunua kwa fedha za ndani? Huyo si alishakopa hadi commercial loans kule credit suisse bank?
 
Magufuli alinunua kwa fedha zetu.mama annunua kwa fedha za mabepari.watachukua nini kwetu?watch it out.
Magufuli alinunua kwa fedha zetu lini mtu aliyekuza deni LA Taifa mpaka lika bust.Samia naye anafanya Yale Yale aliyofanya Magufuli hii Nchi Viongozi wake na Wananchi wake walaana sio bure.

Naona mijitu inafurahia tu mikopo hata hatuangalii tunaipata at what cost,Nchi yenye Rasilimali kibao kila kukicha ni kukopa.
 
Huyo mungu atakua taahira ambae anaweza kumlaani mtu anaempinga samia.

Mshaurini samia hayo mambo makubwa akayafanye kwao Zanzibar...
Hii tamko ni kwa niaba ya nani?

SISI HUKU KWETU HAPANA TUTAMCHAGUA,

1.Huyu Mwanamke Mzanzibar mimi kanijengea kituo cha afya ambacho mbara alishindwa, mimi nitamchagua hivyohovyo,

2.Huyu Mwanamke Mzanzibar anasomesha mtoto wangu bure mpaka form four Mimi nitamchagua hivyohivyo,

3.Huyu Mwanamke Mzanzibar ametoa mikopo ya HESLB kwa watoto wote akiwemo wakwangu, Mimi nitamchagua hivyohivyo,

4.Huyu mwanamke Mzanzibar anajenga SGR bara Sio Zanzibar mimi nitamchagua hivyohivyo,

5. Huyu mwanamke Mzanzibar amenijengea JNHPP nitapata umeme wa 2,115MW zitaingia bara sio Zanzibar Mimi nitamchagua hivyohivyo,

6. Huyu Mwanamke Mzanzibar amenunua ambulance 395 za bara mimi nitamchagua hivyohivyo,
 
Amalize HPP pamoja na SGR mengine baadaye. ie miradi ya kimkakati ndio itaondoa hii nchi kwenye matatizo yaliyokubuhu.
Anamaliza tena on-time,

#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Hii tamko ni kwa niaba ya nani?

SISI HUKU KWETU HAPANA TUTAMCHAGUA,

1.Huyu Mwanamke Mzanzibar mimi kanijengea kituo cha afya ambacho mbara alishindwa, mimi nitamchagua hivyohovyo,

2.Huyu Mwanamke Mzanzibar anasomesha mtoto wangu bure mpaka form four Mimi nitamchagua hivyohivyo,

3.Huyu Mwanamke Mzanzibar ametoa mikopo ya HESLB kwa watoto wote akiwemo wakwangu, Mimi nitamchagua hivyohivyo,

4.Huyu mwanamke Mzanzibar anajenga SGR bara Sio Zanzibar mimi nitamchagua hivyohivyo,

5. Huyu mwanamke Mzanzibar amenijengea JNHPP nitapata umeme wa 2,115MW zitaingia bara sio Zanzibar Mimi nitamchagua hivyohivyo,

6. Huyu Mwanamke Mzanzibar amenunua ambulance 395 za bara mimi nitamchagua hivyohivyo,
Good,

Kali Sana hii,
 
Back
Top Bottom