Rais Samia avunja rekodi ununuzi wa ambulance na magari ya Chanjo

Rais Samia avunja rekodi ununuzi wa ambulance na magari ya Chanjo

Mmeagiza ambulance weka B/L zake hapa!! Weka Receipts za malipo -TT
 

Mtakumbuka awamu ya tano ya Hayati Dk John John Joseph Pombe Magufuli tulifanikiwa kununua jumla ya ambulance 117,awamu hii ya Sita ya Rais Samia Suluhu Hassan tumeagiza ambulance brand new 395 || Kaziindelee​

" Hakuna kama Samia "​


Rais mpole na mnyenyekevu Samia Suluhu Hassan,Rais anayethamini na kulinda Utu na Uhai wa Watanzania wote bila kujali dini,kabila,rangi wala kanda kwa kutumia Economic Stimulus relief fund toka IMF ameagiza zinunuliwe Jumla ya Toyota Land cruiser ambulance mpya 395 pamoja na magari mapya 214 kwaajili ya Chanjo aina zote 15 ikiwemo chanjo ya Corona,Hakika kumbeza Rais Samia nikujitafutia laana za bure kwa Mungu.

Mtakumbuka awamu yetu ya tano katika kutekeleza Ilani ya CCM tulifanikiwa kununua Toyota Land cruiser ambulance mpya 117 na hapa tuendelee kumuenzi na kumwombea pumziko jema Mwanamwema wa Africa Hayati Dk John John Joseph Pombe Magufuli kwa kazi kubwa na nzuri alizozifanya kwenye sekta hii ya afya nchini,

Kwakuwa Tanzania tuna jumla ya Wilaya 139 na zote zina hospitali za Wilaya baada ya hizi ambulance kufika kila Hospitali ya wilaya itapata ambulance mpya ( brand new) kwaajili ya kunusu roho za Watanzania hawa masikini kwa kuwakimbiza kwenye hospitali za juu yao ( referral hospitals )

Kwakuwa Tanzania pia tuna jumla ya Halmashauri 184 ikiwemo Ushetu tulikoshinda kiti cha Ubunge kwa kishindo majuzi kwa hesabu hii ya ambulance 395 kila halmashauri itapata ambulance mpya kwaajili ya kuhudumia ama za Kituoa cha afya ama Zahanati zao kwaajili ya rufaa za wagonjwa wao kwenye hospitali za Wilaya, Watu wa Idara ya afya tunzeni sana mali hizi,

Ambulance hizi 395 ni mara tatu zaidi ya ambulance zote 117 zilizonunuliwa kwa miaka mitano yote ya awamu ya tano ,kwa wenye kumbukumbu nzuri mtakubaliana na mimi kuwa jambo hili halijawahi kutokea katika historia ya nchi hii, " kama kuna mtu wa kumwombea kwa nguvu zote kwa sasa basi ni Rais Samia Suluhu Hassan "

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Raisi Samia mpaka sasa anaenda vizuri - lakini usianze kulinganisha kilicho nunuliwa tayari na kilicho agizwa (ahadi) kinunuliwe! Ahadi na kitukilichokwisha tekelezwa kipi bora? Ufurahie results siyo proposals. Inawezekana tukaambulia hiyo ahadi tu na akifika ofisini baada ya kuahidi, zile hela zikapangiwa mradi mwingine. Usilinganishe - tusubiri matokeo
 

Mtakumbuka awamu ya tano ya Hayati Dk John John Joseph Pombe Magufuli tulifanikiwa kununua jumla ya ambulance 117,awamu hii ya Sita ya Rais Samia Suluhu Hassan tumeagiza ambulance brand new 395 || Kaziindelee​

" Hakuna kama Samia "​


Rais mpole na mnyenyekevu Samia Suluhu Hassan,Rais anayethamini na kulinda Utu na Uhai wa Watanzania wote bila kujali dini,kabila,rangi wala kanda kwa kutumia Economic Stimulus relief fund toka IMF ameagiza zinunuliwe Jumla ya Toyota Land cruiser ambulance mpya 395 pamoja na magari mapya 214 kwaajili ya Chanjo aina zote 15 ikiwemo chanjo ya Corona,Hakika kumbeza Rais Samia nikujitafutia laana za bure kwa Mungu.

Mtakumbuka awamu yetu ya tano katika kutekeleza Ilani ya CCM tulifanikiwa kununua Toyota Land cruiser ambulance mpya 117 na hapa tuendelee kumuenzi na kumwombea pumziko jema Mwanamwema wa Africa Hayati Dk John John Joseph Pombe Magufuli kwa kazi kubwa na nzuri alizozifanya kwenye sekta hii ya afya nchini,

Kwakuwa Tanzania tuna jumla ya Wilaya 139 na zote zina hospitali za Wilaya baada ya hizi ambulance kufika kila Hospitali ya wilaya itapata ambulance mpya ( brand new) kwaajili ya kunusu roho za Watanzania hawa masikini kwa kuwakimbiza kwenye hospitali za juu yao ( referral hospitals )

Kwakuwa Tanzania pia tuna jumla ya Halmashauri 184 ikiwemo Ushetu tulikoshinda kiti cha Ubunge kwa kishindo majuzi kwa hesabu hii ya ambulance 395 kila halmashauri itapata ambulance mpya kwaajili ya kuhudumia ama za Kituoa cha afya ama Zahanati zao kwaajili ya rufaa za wagonjwa wao kwenye hospitali za Wilaya, Watu wa Idara ya afya tunzeni sana mali hizi,

Ambulance hizi 395 ni mara tatu zaidi ya ambulance zote 117 zilizonunuliwa kwa miaka mitano yote ya awamu ya tano ,kwa wenye kumbukumbu nzuri mtakubaliana na mimi kuwa jambo hili halijawahi kutokea katika historia ya nchi hii, " kama kuna mtu wa kumwombea kwa nguvu zote kwa sasa basi ni Rais Samia Suluhu Hassan "

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Duuuh,

Kumbe mzee baba miaka 5 kapigwa gepu na mama kwa miezi sita tu khaaa,

Mungu tupe maisha marefu Mimi na Samia nimwone mpaka 2030 Tanzania itakavyokuwa inang'aa

Kweli kumpinga Samia ni kutafuta laana tu,
 

Mtakumbuka awamu ya tano ya Hayati Dk John John Joseph Pombe Magufuli tulifanikiwa kununua jumla ya ambulance 117,awamu hii ya Sita ya Rais Samia Suluhu Hassan tumeagiza ambulance brand new 395 || Kaziindelee​

" Hakuna kama Samia "​


Rais mpole na mnyenyekevu Samia Suluhu Hassan,Rais anayethamini na kulinda Utu na Uhai wa Watanzania wote bila kujali dini,kabila,rangi wala kanda kwa kutumia Economic Stimulus relief fund toka IMF ameagiza zinunuliwe Jumla ya Toyota Land cruiser ambulance mpya 395 pamoja na magari mapya 214 kwaajili ya Chanjo aina zote 15 ikiwemo chanjo ya Corona,Hakika kumbeza Rais Samia nikujitafutia laana za bure kwa Mungu.

Mtakumbuka awamu yetu ya tano katika kutekeleza Ilani ya CCM tulifanikiwa kununua Toyota Land cruiser ambulance mpya 117 na hapa tuendelee kumuenzi na kumwombea pumziko jema Mwanamwema wa Africa Hayati Dk John John Joseph Pombe Magufuli kwa kazi kubwa na nzuri alizozifanya kwenye sekta hii ya afya nchini,

Kwakuwa Tanzania tuna jumla ya Wilaya 139 na zote zina hospitali za Wilaya baada ya hizi ambulance kufika kila Hospitali ya wilaya itapata ambulance mpya ( brand new) kwaajili ya kunusu roho za Watanzania hawa masikini kwa kuwakimbiza kwenye hospitali za juu yao ( referral hospitals )

Kwakuwa Tanzania pia tuna jumla ya Halmashauri 184 ikiwemo Ushetu tulikoshinda kiti cha Ubunge kwa kishindo majuzi kwa hesabu hii ya ambulance 395 kila halmashauri itapata ambulance mpya kwaajili ya kuhudumia ama za Kituoa cha afya ama Zahanati zao kwaajili ya rufaa za wagonjwa wao kwenye hospitali za Wilaya, Watu wa Idara ya afya tunzeni sana mali hizi,

Ambulance hizi 395 ni mara tatu zaidi ya ambulance zote 117 zilizonunuliwa kwa miaka mitano yote ya awamu ya tano ,kwa wenye kumbukumbu nzuri mtakubaliana na mimi kuwa jambo hili halijawahi kutokea katika historia ya nchi hii, " kama kuna mtu wa kumwombea kwa nguvu zote kwa sasa basi ni Rais Samia Suluhu Hassan "

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Ukiona nchi ina magereza chache na mahakama chache ujue crime ni ndogo watu hawafanyin uharifu kwa sana.

So umesema hawamu ya Magufuri iliagiza amblancy 117, lakin hawam ya Rais Samia ameagiza amblance 395.

Kwa tafisiri yangu naona hawam ya Magufuri wagonjwa walikuwa wachache ndio maana zikaletwa 117. Lakin hawam hii zimeagizwa 395 Ina maana wagonjwa kipindi hik wagonjwa ni wengi mno Tena yawezekana 395 zikawa hazitosh!!!

Wamachinga Wana presha ya biashara, wafanyakaz mishahara haitoshi wanaugulia kimoyo moyo, mafuta ya kula na ya magari kupanda bei Kama zote, tozo Kama zote, corona na chanjo ya JJ ndo usiseme, yaan full stress. Kweli hapa wagonjwa so lazima waongezeke jaman??? So Raisi amefanya vizuri kuagiza 395 kuhudimia watz!!!!
 
Raisi Samia mpaka sasa anaenda vizuri - lakini usianze kulinganisha kilicho nunuliwa tayari na kilicho agizwa (ahadi) kinunuliwe! Ahadi na kitukilichokwisha tekelezwa kipi bora? Ufurahie results siyo proposals. Inawezekana tukaambulia hiyo ahadi tu na akifika ofisini baada ya kuahidi, zile hela zikapangiwa mradi mwingine. Usilinganishe - tusubiri matokeo
Ahadi wapi mkuu pesa Cash 1.3T ameifanyia budgeting mbele ya watanzania,

Huyu mtu ni tofauti sana,

Tangu umekuwa umewahi kuona mkopo unagawanywa hadharani?



#
 
Kama Taifa tumtie Rais Samia moyo mkuu. Ukiachilia kasoro kubwa na ya kimsingi ya kumsingizia raia mwenzetu Freeman Mbowe kesi ya ugaidi na juhudi za Rais kujichagulia wapinzani anayewataka yeye, serikali na Chama chake, amejitahidi kuwa muwazi, shirikishi ya viongozi wenzie na kukemea ubadhirifu kwa watu wote. Mipango yake ya kimaendeleo haina upendeleo wa kikanda au maeneo tuliokwishazoea awamu ya tano na hii kwangu nawaza tuko kwenye mstari. Napenda uthubutu wake, biti za uhakika na kujituma kwake. Lakini tunaomba Tanesco, Mradi mkubwa wa umeme wa Nyerere, Simu, TRC, na wote ambao hawakufanyiwa audit wafanyiwe haraka sana. Wengi tunaamini kuna yaliyojificha na tutaendelea kuwa na shaka. Pamoja na hayo hongera kwa mema unayifanya. Watanzania na dunia wanaendelea kumpigania Mbowe na hili ni doa kubwa sana kwako.
 
Ukiona nchi ina magereza chache na mahakama chache ujue crime ni ndogo watu hawafanyin uharifu kwa sana.

So umesema hawamu ya Magufuri iliagiza amblancy 117, lakin hawam ya Rais Samia ameagiza amblance 395.

Kwa tafisiri yangu naona hawam ya Magufuri wagonjwa walikuwa wachache ndio maana zikaletwa 117. Lakin hawam hii zimeagizwa 395 Ina maana wagonjwa kipindi hik wagonjwa ni wengi mno Tena yawezekana 395 zikawa hazitosh!!!

Wamachinga Wana presha ya biashara, wafanyakaz mishahara haitoshi wanaugulia kimoyo moyo, mafuta ya kula na ya magari kupanda bei Kama zote, tozo Kama zote, corona na chanjo ya JJ ndo usiseme, yaan full stress. Kweli hapa wagonjwa so lazima waongezeke jaman??? So Raisi amefanya vizuri kuagiza 395 kuhudimia watz!!!!
Mkuu nisoma utafiti wako vizuri Sana,

But,

Ambulance ni kwaajili ya dharau kama ajali na Case chache za magonjwa yasiyo ajali,

Rais amependa kila hospital ya wilaya iwe na ambulance hilo ni baya?

Kila halmashauri iwe na ambulance hilo ni jambo baya?

Kinga ni bora kuliko tiba mkuu Wangu


KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Kama Taifa tumtie Rais Samia moyo mkuu. Ukiachilia kasoro kubwa na ya kimsingi ya kumsingizia raia mwenzetu Freeman Mbowe kesi ya ugaidi na juhudi za Rais kujichagulia wapinzani anayewataka yeye, serikali na Chama chake, amejitahidi kuwa muwazi, shirikishi ya viongozi wenzie na kukemea ubadhirifu kwa watu wote. Mipango yake ya kimaendeleo haina upendeleo wa kikanda au maeneo tuliokwishazoea awamu ya tano na hii kwangu nawaza tuko kwenye mstari. Napenda uthubutu wake, biti za uhakika na kujituma kwake. Lakini tunaomba Tanesco, Mradi mkubwa wa umeme wa Nyerere, Simu, TRC, na wote ambao hawakufanyiwa audit wafanyiwe haraka sana. Wengi tunaamini kuna yaliyojificha na tutaendelea kuwa na shaka. Pamoja na hayo hongera kwa mema unayifanya. Watanzania na dunia wanaendelea kumpigania Mbowe na hili ni doa kubwa sana kwako.
Mkuu Rais Samia hajampa kesi Mbowe,

Kabla yake kesi ilikuwepo,

Otherwise mengine umesema ukweli mtupu,

KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Duuuh,

Kumbe mzee baba miaka 5 kapigwa gepu na mama kwa miezi sita tu khaaa,

Mungu tupe maisha marefu Mimi na Samia nimwone mpaka 2030 Tanzania itakavyokuwa inang'aa

Kweli kumpinga Samia ni kutafuta laana tu,
Samia hapingwi ukimpinga mja wa Mungu nisawa na kumpinga Mungu tu,


KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Daaaa kweli unasababu ya kumchagua kwa sifa hz zote Ila mbona umesahau moja ya kukuletea chanjo ya majaribio?
 
Ingizo jipya hili la lumumba buku 7 umekuja kwa speed sana
 
Back
Top Bottom