Rais Samia awa gumzo Duniani. Ripoti ya uchumi Duniani yaipa Tanzania ya Rais Samia Alama B+ ukuaji wa Uchumi

Rais Samia awa gumzo Duniani. Ripoti ya uchumi Duniani yaipa Tanzania ya Rais Samia Alama B+ ukuaji wa Uchumi

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

DUNIA inaendelea kuchangazwa na Maajabu yanayoendelea kufanywa Na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Katika kukuza na kuupaisha Uchumi wa Tanzania utafikiri ndege za kivita.

Rais Samia anaendelea kuteka hisia za wachumi wengi Duniani kwote namna alivyo simamia ukuaji wa uchumi Nchini kwa kuweka sera nzuri za kifedha na uchumi zilizovutia kama sumaku uwekezaji mkubwa wa mitaji hapa Nchini.

Embu soma taarifa hii hapa chini niliyochukua huko👎

Ripoti ya Uchumi Duniani, Yaonyesha matokeo makubwa Uchumi wa Tanzania chini ya Rais Samia, ripoti ya Fitch Ratings imeipa Tanzania kiwango cha alama B+ kuwa na Uchumi unaokua kwa kasi na uwezo wa Kulipa Madeni ya Nje kwa Muda Mrefu (IDR).

Ripoti hiyo imeonyesha mtazamo thabiti wa mafanikio makubwa yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.

Sera nzuri za kifedha na kiuchumi za serikali ya Rais Samia zimeiongoza nchi kuelekea ustahimilivu na ukuaji, hata katikati ya changamoto za kiuchumi duniani.

Kuimarisha Ukuaji wa Kiuchumi
Chini ya uongozi wa Rais Samia, ukuaji wa Pato la Taifa (GDP) wa Tanzania unatarajiwa kufikia asilimia 5.4 mwaka 2024 na asilimia 5.9 mwaka 2025, ukipita wastani wa nchi nyingine zenye alama sawa.

Mafanikio haya ni matokeo ya moja kwa moja ya uwekezaji wa kimkakati wa serikali yake katika miradi ya miundombinu yenye mabadiliko makubwa, kama vile Reli ya Kisasa (SGR) na Mradi wa Umeme wa Bwawa la Julius Nyerere.

Miradi hii inaonyesha dhamira ya rais ya kuboresha uchumi, kuunda nafasi za ajira, na kuhakikisha maendeleo endelevu.

Msisitizo wa Rais Samia katika kufufua sekta muhimu kama kilimo, madini, na utalii umechangia kwa kiasi kikubwa katika kuimarika kwa uchumi wa Tanzania.

Msaada wa serikali yake kwa miradi mikubwa si tu umevutia uwekezaji wa kigeni bali pia umefungua uwezo wa muda mrefu wa ukuaji wa nchi.

Kudhibiti Mfumuko wa Bei na Kustawisha Uchumi, Serikali ya Rais Samia imefanikiwa kudumisha mfumuko wa bei chini ya lengo la asilimia 5 la Benki Kuu ya Tanzania, kwa wastani wa asilimia 3.1 katika robo ya tatu ya mwaka 2024.

Mafanikio haya ni matokeo ya juhudi za serikali kuhakikisha usalama wa chakula kupitia sera bora za kilimo na usambazaji wa pembejeo kwa ufanisi.

Mabadiliko ya mfumo wa sera za kifedha kuelekea matumizi ya viwango vya riba kama kipimo kikuu ni hatua nyingine muhimu, ambayo imeimarisha ufanisi wa sera za Benki Kuu.

Mageuzi haya yanaonyesha dhamira ya serikali ya Rais Samia ya kudumisha uthabiti wa kiuchumi na kuimarisha imani ya wawekezaji.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

DUNIA inaendelea kuchangazwa na Maajabu yanayoendelea kufanywa Na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Katika kukuza na kuupaisha Uchumi wa Tanzania utafikiri ndege za kivita.

Rais Samia anaendelea kuteka hisia za wachumi wengi Duniani kwote namna alivyo simamia ukuaji wa uchumi Nchini kwa kuweka sera nzuri za kifedha na uchumi zilizovutia kama sumaku uwekezaji mkubwa wa mitaji hapa Nchini.

Embu soma taarifa hii hapa chini niliyochukua huko👎

Ripoti ya Uchumi Duniani, Yaonyesha matokeo makubwa Uchumi wa Tanzania chini ya Rais Samia, ripoti ya Fitch Ratings imeipa Tanzania kiwango cha alama B+ kuwa na Uchumi unaokua kwa kasi na uwezo wa Kulipa Madeni ya Nje kwa Muda Mrefu (IDR).

Ripoti hiyo imeonyesha mtazamo thabiti wa mafanikio makubwa yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.

Sera nzuri za kifedha na kiuchumi za serikali ya Rais Samia zimeiongoza nchi kuelekea ustahimilivu na ukuaji, hata katikati ya changamoto za kiuchumi duniani.

Kuimarisha Ukuaji wa Kiuchumi
Chini ya uongozi wa Rais Samia, ukuaji wa Pato la Taifa (GDP) wa Tanzania unatarajiwa kufikia asilimia 5.4 mwaka 2024 na asilimia 5.9 mwaka 2025, ukipita wastani wa nchi nyingine zenye alama sawa.

Mafanikio haya ni matokeo ya moja kwa moja ya uwekezaji wa kimkakati wa serikali yake katika miradi ya miundombinu yenye mabadiliko makubwa, kama vile Reli ya Kisasa (SGR) na Mradi wa Umeme wa Bwawa la Julius Nyerere.

Miradi hii inaonyesha dhamira ya rais ya kuboresha uchumi, kuunda nafasi za ajira, na kuhakikisha maendeleo endelevu.

Msisitizo wa Rais Samia katika kufufua sekta muhimu kama kilimo, madini, na utalii umechangia kwa kiasi kikubwa katika kuimarika kwa uchumi wa Tanzania.

Msaada wa serikali yake kwa miradi mikubwa si tu umevutia uwekezaji wa kigeni bali pia umefungua uwezo wa muda mrefu wa ukuaji wa nchi.

Kudhibiti Mfumuko wa Bei na Kustawisha Uchumi, Serikali ya Rais Samia imefanikiwa kudumisha mfumuko wa bei chini ya lengo la asilimia 5 la Benki Kuu ya Tanzania, kwa wastani wa asilimia 3.1 katika robo ya tatu ya mwaka 2024.

Mafanikio haya ni matokeo ya juhudi za serikali kuhakikisha usalama wa chakula kupitia sera bora za kilimo na usambazaji wa pembejeo kwa ufanisi.

Mabadiliko ya mfumo wa sera za kifedha kuelekea matumizi ya viwango vya riba kama kipimo kikuu ni hatua nyingine muhimu, ambayo imeimarisha ufanisi wa sera za Benki Kuu.

Mageuzi haya yanaonyesha dhamira ya serikali ya Rais Samia ya kudumisha uthabiti wa kiuchumi na kuimarisha imani ya wawekezaji.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwenye masuala ya Uchumi,Samia hajawahi kuwa na shoo mbovu.

View: https://x.com/kafulila_david/status/1869108067780161666?t=rMfUHTrkJKQAmMAnsfkGcg&s=19

Angalia tuu mtaani namba E ni nyingi kuliko nambaz zingine
 
Amekuwa gumzo Kwa vichaa tu.wakati anarithishwa Tanzania ilikuwa lowest middle income country(LMIC) lakini aliporithi tu madaraka ya urithi wake yaliyotokana na katiba mbovu TZ ikawa severe poorest country Hadi Sasa hivi.
 
Amekuwa gumzo Kwa vichaa tu.wakati anarithishwa Tanzania ilikuwa lowest middle income country(LMIC) lakini aliporithi tu madaraka ya urithi wake yaliyotokana na katiba mbovu TZ ikawa severe poorest country Hadi Sasa hivi.
🚮🚮🚮 Ujinga huu
 
Amekuwa gumzo Kwa vichaa tu.wakati anarithishwa Tanzania ilikuwa lowest middle income country(LMIC) lakini aliporithi tu madaraka ya urithi wake yaliyotokana na katiba mbovu TZ ikawa severe poorest country Hadi Sasa hivi.
Kama Dunia imetambua mchango Chanya wa Daktari Samia.wewe ni nani na ujinga wako upinge?
 
Ndugu zangu Watanzania,

DUNIA inaendelea kuchangazwa na Maajabu yanayoendelea kufanywa Na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Katika kukuza na kuupaisha Uchumi wa Tanzania utafikiri ndege za kivita.

Rais Samia anaendelea kuteka hisia za wachumi wengi Duniani kwote namna alivyo simamia ukuaji wa uchumi Nchini kwa kuweka sera nzuri za kifedha na uchumi zilizovutia kama sumaku uwekezaji mkubwa wa mitaji hapa Nchini.

Embu soma taarifa hii hapa chini niliyochukua huko👎

Ripoti ya Uchumi Duniani, Yaonyesha matokeo makubwa Uchumi wa Tanzania chini ya Rais Samia, ripoti ya Fitch Ratings imeipa Tanzania kiwango cha alama B+ kuwa na Uchumi unaokua kwa kasi na uwezo wa Kulipa Madeni ya Nje kwa Muda Mrefu (IDR).

Ripoti hiyo imeonyesha mtazamo thabiti wa mafanikio makubwa yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.

Sera nzuri za kifedha na kiuchumi za serikali ya Rais Samia zimeiongoza nchi kuelekea ustahimilivu na ukuaji, hata katikati ya changamoto za kiuchumi duniani.

Kuimarisha Ukuaji wa Kiuchumi
Chini ya uongozi wa Rais Samia, ukuaji wa Pato la Taifa (GDP) wa Tanzania unatarajiwa kufikia asilimia 5.4 mwaka 2024 na asilimia 5.9 mwaka 2025, ukipita wastani wa nchi nyingine zenye alama sawa.

Mafanikio haya ni matokeo ya moja kwa moja ya uwekezaji wa kimkakati wa serikali yake katika miradi ya miundombinu yenye mabadiliko makubwa, kama vile Reli ya Kisasa (SGR) na Mradi wa Umeme wa Bwawa la Julius Nyerere.

Miradi hii inaonyesha dhamira ya rais ya kuboresha uchumi, kuunda nafasi za ajira, na kuhakikisha maendeleo endelevu.

Msisitizo wa Rais Samia katika kufufua sekta muhimu kama kilimo, madini, na utalii umechangia kwa kiasi kikubwa katika kuimarika kwa uchumi wa Tanzania.

Msaada wa serikali yake kwa miradi mikubwa si tu umevutia uwekezaji wa kigeni bali pia umefungua uwezo wa muda mrefu wa ukuaji wa nchi.

Kudhibiti Mfumuko wa Bei na Kustawisha Uchumi, Serikali ya Rais Samia imefanikiwa kudumisha mfumuko wa bei chini ya lengo la asilimia 5 la Benki Kuu ya Tanzania, kwa wastani wa asilimia 3.1 katika robo ya tatu ya mwaka 2024.

Mafanikio haya ni matokeo ya juhudi za serikali kuhakikisha usalama wa chakula kupitia sera bora za kilimo na usambazaji wa pembejeo kwa ufanisi.

Mabadiliko ya mfumo wa sera za kifedha kuelekea matumizi ya viwango vya riba kama kipimo kikuu ni hatua nyingine muhimu, ambayo imeimarisha ufanisi wa sera za Benki Kuu.

Mageuzi haya yanaonyesha dhamira ya serikali ya Rais Samia ya kudumisha uthabiti wa kiuchumi na kuimarisha imani ya wawekezaji.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Rubbish
 
Ndugu zangu Watanzania,

DUNIA inaendelea kuchangazwa na Maajabu yanayoendelea kufanywa Na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Katika kukuza na kuupaisha Uchumi wa Tanzania utafikiri ndege za kivita.

Rais Samia anaendelea kuteka hisia za wachumi wengi Duniani kwote namna alivyo simamia ukuaji wa uchumi Nchini kwa kuweka sera nzuri za kifedha na uchumi zilizovutia kama sumaku uwekezaji mkubwa wa mitaji hapa Nchini.

Embu soma taarifa hii hapa chini niliyochukua huko👎

Ripoti ya Uchumi Duniani, Yaonyesha matokeo makubwa Uchumi wa Tanzania chini ya Rais Samia, ripoti ya Fitch Ratings imeipa Tanzania kiwango cha alama B+ kuwa na Uchumi unaokua kwa kasi na uwezo wa Kulipa Madeni ya Nje kwa Muda Mrefu (IDR).

Ripoti hiyo imeonyesha mtazamo thabiti wa mafanikio makubwa yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.

Sera nzuri za kifedha na kiuchumi za serikali ya Rais Samia zimeiongoza nchi kuelekea ustahimilivu na ukuaji, hata katikati ya changamoto za kiuchumi duniani.

Kuimarisha Ukuaji wa Kiuchumi
Chini ya uongozi wa Rais Samia, ukuaji wa Pato la Taifa (GDP) wa Tanzania unatarajiwa kufikia asilimia 5.4 mwaka 2024 na asilimia 5.9 mwaka 2025, ukipita wastani wa nchi nyingine zenye alama sawa.

Mafanikio haya ni matokeo ya moja kwa moja ya uwekezaji wa kimkakati wa serikali yake katika miradi ya miundombinu yenye mabadiliko makubwa, kama vile Reli ya Kisasa (SGR) na Mradi wa Umeme wa Bwawa la Julius Nyerere.

Miradi hii inaonyesha dhamira ya rais ya kuboresha uchumi, kuunda nafasi za ajira, na kuhakikisha maendeleo endelevu.

Msisitizo wa Rais Samia katika kufufua sekta muhimu kama kilimo, madini, na utalii umechangia kwa kiasi kikubwa katika kuimarika kwa uchumi wa Tanzania.

Msaada wa serikali yake kwa miradi mikubwa si tu umevutia uwekezaji wa kigeni bali pia umefungua uwezo wa muda mrefu wa ukuaji wa nchi.

Kudhibiti Mfumuko wa Bei na Kustawisha Uchumi, Serikali ya Rais Samia imefanikiwa kudumisha mfumuko wa bei chini ya lengo la asilimia 5 la Benki Kuu ya Tanzania, kwa wastani wa asilimia 3.1 katika robo ya tatu ya mwaka 2024.

Mafanikio haya ni matokeo ya juhudi za serikali kuhakikisha usalama wa chakula kupitia sera bora za kilimo na usambazaji wa pembejeo kwa ufanisi.

Mabadiliko ya mfumo wa sera za kifedha kuelekea matumizi ya viwango vya riba kama kipimo kikuu ni hatua nyingine muhimu, ambayo imeimarisha ufanisi wa sera za Benki Kuu.

Mageuzi haya yanaonyesha dhamira ya serikali ya Rais Samia ya kudumisha uthabiti wa kiuchumi na kuimarisha imani ya wawekezaji.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sasa waliotupa alama B si ndio wanaotuibia Uliona tumepewa na wajeruman ama wachina alama B tumia ELIMU Yako vizuri nchi inadawaiwa pesa mingi ww unaendeleaj kupotosha vijana
 
Back
Top Bottom