Rais Samia awa gumzo Duniani. Ripoti ya uchumi Duniani yaipa Tanzania ya Rais Samia Alama B+ ukuaji wa Uchumi

Kwenye masuala ya Uchumi,Samia hajawahi kuwa na shoo mbovu.

Angalia tuu mtaani namba E ni nyingi kuliko nambaz zingine
Sasa kama watu wanafisadi bila kushikwa mikono namba E zitapunguaje!? Sahizi watu wananunua gari za mabilion sababu mianya ya upigaji iko wazi.
 
Mama mitano Tena
 
UWT sijui kama kuna siku mtabadilika kwa upumbavu wenu huu, mtaendelea kutumika huku wazanzibar wanabeba mali na kwenda kuijenga Zanzibar yao. Shame on you
 
Nabubujikwa na machozi ya furaha Kama materuni na chemka waterfalls
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…