Rais Samia awaapisha Balozi Batilda kuwa RC Tabora na Zuwena Omari kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga

Rais Samia awaapisha Balozi Batilda kuwa RC Tabora na Zuwena Omari kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga

Ile ndege anayotumia ni kubwa sana na sielewi wanakodisha au ndio yaleyale ya shamba la bwana heri?

Namna hii shirika la ATCL haliwezi kurekodi faida hata kidogo sababu mama anatumia ndege kwa gharama zipi? Kama ni za ATCL aisee lile dude ni kubwa sana kupanda yeye na watu wake kadhaa u less wanakodisha na wanakupa hizo fedha.

Lakini tujiulize kwa nini apande lindege likubwa vile ndege ya abiria zaidi ya 180 anapanda yeye na mashosti zake kadhaa? Ndege ya Rais ipo wapi na inafanya nini? Ina maana tunawalipa pilots wa Rais bure? Tunawalipa engineer wa Ile ndege bure? Inakaa bure tu kwa nini? Why kutumia ndege inayofanya biashara kwenye misele yake binafsi?

ATCL inalaumiwa bure tu, Kassim Majaliwa anaitumia, yule Makamu wa Rais hata akienda kusalimia kaburi la Mungu wake anaitumia, what is this ndugu zangu?
Alienda akakuta Kaburi la mheshimiwa mungu limejaa mataka taka kibao
 
Kwahiyo kachoma Mafuta ya Ndege jana kwenda Dodoma ili 'Kuwaapisha' tu hawa? Kwanini ili Kuokoa Pesa za Walalahoi ( Watanzania ) hawa 'Walioapishwa' wao ndiyo wasingekuja Dar es Salaam na Gari zao ili waapishwe?
Dodoma ndio ofisini.
 
Ile ndege anayotumia ni kubwa sana na sielewi wanakodisha au ndio yaleyale ya shamba la bwana heri?

Namna hii shirika la ATCL haliwezi kurekodi faida hata kidogo sababu mama anatumia ndege kwa gharama zipi? Kama ni za ATCL aisee lile dude ni kubwa sana kupanda yeye na watu wake kadhaa u less wanakodisha na wanakupa hizo fedha.

Lakini tujiulize kwa nini apande lindege likubwa vile ndege ya abiria zaidi ya 180 anapanda yeye na mashosti zake kadhaa? Ndege ya Rais ipo wapi na inafanya nini? Ina maana tunawalipa pilots wa Rais bure? Tunawalipa engineer wa Ile ndege bure? Inakaa bure tu kwa nini? Why kutumia ndege inayofanya biashara kwenye misele yake binafsi?

ATCL inalaumiwa bure tu, Kassim Majaliwa anaitumia, yule Makamu wa Rais hata akienda kusalimia kaburi la Mungu wake anaitumia, what is this ndugu zangu?
na hilo ni tatizo la mama, inaonesha hawezi kuongoza vizuri......!! waliokua na matumaini na huyu mama nawaonea huruma sana!
 
Full Barakoa, sio kama zile enzi za Ibilisi aliemaliza Wazee wetu.
Yaani nikimkumbuka Kijazi ninasikitika mno mno. Hivi Mzee wetu Mkapa alikufakufaje? Maana mpaka Leo hii hatukuelezwa vizuri. Like kitu lilikuwa haramu kabisa.
 
Hitler,Bokassa,Iddi Amini..wanasemwa uchungu waliosabashia Binadamu kwanini isiwe Dikteta Magufuli?
Upumbavu ni kusoma udikteta wa hitla ambao hausaidii chochote. Mimi kwa upande wangu naona Hitler anauzuri wake mwingi tu wa kutusababishia tukapata uhuru japo wa bendera

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Nasikia Shangazi Fatuma Karume karejeshewa uwakili wake na mahakama kuu...

Mama anaucheza mwingi kama Clatous Chama pale Msimbazi...

Nakumbuka kama Shangazi alisema hakukubaliana na maamuzi

Online bado anaonekana kuwekewa kufuli hadi sasahivi, ila inawezekana wameshahitimisha maneno yao wataliondoa tuu
Screenshot_20210621-192055.jpg


Ila amepoaa sana shangazi.

Kimyaaaa
 
Kwahiyo kachoma Mafuta ya Ndege jana kwenda Dodoma ili 'Kuwaapisha' tu hawa? Kwanini ili Kuokoa Pesa za Walalahoi ( Watanzania ) hawa 'Walioapishwa' wao ndiyo wasingekuja Dar es Salaam na Gari zao ili waapishwe?
We bwege Ni much know sana, kesho Rais ana kikao Cha kamati kuu ya chama ndiomaana ameenda dodoma
 
Back
Top Bottom