kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Hii nchi kuendelea inavyostahili ningumu sana tunazungushwa na viongo ziii kwenye tope lilelile la umaskini ni tairi la kushoto laletwa kulia mara liende mbele...hatutoki mpaka akili na ghadhabu vikutane!! Na hii elimu yetu yakukariri ujinga ndo unatuzidi keeleeeuuuuuuwiiiii!!!!