kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Ni kweli wamefanana sana na yule mwamba aliyesema eti alipigwa mistari huku mbinguni.Nchi ngumu sana hiiNilifikiri Mfalme Zumaridi kapewa wizara[emoji23]View attachment 2573881
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilifikiri Mfalme Zumaridi kapewa wizara[emoji23]View attachment 2573881
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli, uwiiiiiihMganga wa jenista mhagama si wa nchi hii atakuwa mchina,Mana tangu nianze kufuatilia Mambo ya serikali huyu mwanamke yumo tuu na siyonagi anachofanya Cha maana.
Mbowe hajawashughulikia viongozi wa Chadema waliopeleka majina ya COVID 19 bungeniBahati mbaya sana Hangaya kakosa mvuto
NImeacha kabisa kufuatilia live events zake. Inapofikia hata tuliyempa tools zote za kuendesha nchi analalamika basi tukae kwa kutulia tusubiri labda tutaokota dodo kwenye mkomamanga
Hao wote ni Moles wa kudumu.Tuna uhaba wa viongozi ndo maana kila siku wanatolewa hapa wanapelekwa pale.
Mwisho kabisa tutaazima viongozi kutoka nchi jirani
Anaficha kipara.Hayo manywele bandia ya mhagama kwanini asiachane nayo tu?
Tax
Doroth
Akson
Mbona wapo fresh tu bila hayo makatani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo manywele bandia ya mhagama kwanini asiachane nayo tu?
Tax
Doroth
Akson
Mbona wapo fresh tu bila hayo makatani?
Nilitaka kusema ,ila umesema mkuu, kweli wasemao kwamba mke mmoja alimfungia kabatin mme wake wapo sahii sanaUchawi upo
Laiti mama angelikuwa mdadisi angegundua mengiHao wote ni Moles wa kudumu.
Angejua kuna Wanaume tunapenda vipara vya Wanawake angaachana na hayo Makatani na ajaribu kua OG, au mfundishe kupiga Shungi Kama lako atapendeza pia kuliko hizo katani kichwani mwake!!Anaficha kipara.
Dirty mind.Angejua kuna Wanaume tunapenda vipara vya Wanawake angaachana na hayo Makatani na ajaribu kua OG, au mfundishe kupiga Shungi Kama lako atapendeza pia kuliko hizo katani kichwani mwake!!
😁 Mnamsema sana kwa Uchawi Mzee wa watu. Lakini ndio anatoboa, mara anakuwa Waziri MkuuUchawi upo