King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hongera Sana DIWANI kwa kurudishwa IKULU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini ni tamu. Tuachane na maharage huku tukila kitimoto na kuunga mkono juhudi za mama yetu....Kitimoto imepanda maradufu
Aliyekuwa NaibuHuyo boss mpya wa Tiss ni nani ? Haha
Nikajua presidaa angesitisha speech yake.. utadhani ving'ora!!Sio kejeli ila nilikuwa nasikiliza kwa umakini hizo sauti zikanitoa kwenye reli
Nimesikia hapa kwamba eti Tausi wa White House.Nyau nyau tena [emoji250]
Hiyo bei ya wapi?Haya mabadiliko yatateremsha bei ya maharage kilo sh. 4500 hali mbaya huku mitaani.
Ikulu kuna hadi wanyama pori wewe unashangaa nyau?Nyau nyau tena 🐈
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko ya nafasi za ziongozi Serikalini Ikulu jijini Dares Salaam, leo tarehe 03 Januari, 2023.
Amesema Mwezi Novemba 2022 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilikuwa na mjadala mzito kuhusu matumizi ya fedha na madaraka katika ofisi za kibalozi zilizoko nchi mbali ulimwenguni. Kutokana na hilo serikali inafanyia kazi kasoro zilizoletwa ili kurudisha hadhi za balozi zetu.
Mabadiliko hayo ni;
Mabadiliko katika Ofisi ya Ubalozi New York ambayo inakuwa na mwakilishi wa kudumu katika Umoja wa Taifa.
Hussein Othamn Katanga anachukua nafasi ya Prof. Kennedy Gaston ambaye anarudi Tanzania. Hussein Othman Katanga aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi na aliwahi pia kuwa Balozi nchini Japan.
Sure..ni kubadili tu Vyeo..ulaji ni ule ule..Hamna sura Mpya... ni wale wale wapo kwenye inner cycle
Tausi hao bwana-😁😁Mkuu kumbe na wewe umewasikia.
😀😀😀😀
HapanaHaya mabadiliko yatateremsha bei ya maharage kilo sh. 4500 hali mbaya huku mitaani.