Rais Samia awabadili Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa Diwani Athuman na Katibu Mkuu Kiongozi Hussein Kattanga

Business as usual,sijaona Cha maana,zaidi ya watu kupata ulaji tu,
Katanga amekosea nini?kutoka kuwa katibu mkuu kiongozi(mkuu wa wa watumishi wote serikali kuu) kwenda kuwa balozi tu!!!
Diwani ameulamba,
Hoyce Temu vipi,na madudu yake Bado hajatumbuliwa tu
 
Sawa tu, ila mabadiliko kwenye idara ya usalama hautukuzoea yawe mara kwa mara, kulikoni miaka ya karibuni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…