Ni kweli tuwaombee kwa Mungu wasije wakakengeuka...Its a critical moment kwa nchi...Maana tunaiendea njia ambayo ni mpya kwetu sote....Reforms!Hii maana yake kuna uelekeo mpya! Hao ndio core drive ya nchi.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Don't hold your breath😂Haya mabadiliko yatateremsha bei ya maharage kilo sh. 4500 hali mbaya huku mitaani.
Katibu mkuu kiongozi au katibu mkuu ikulu..??Hii ndiyo taarifa mpya kutoka Ikulu
Haihusiani kabisa na bei ya maharage !Haya mabadiliko yatateremsha bei ya maharage kilo sh. 4500 hali mbaya huku mitaani.
Sio Katibu Mkuu Kiongozi, kawa Katibu Mkuu Ikulu, hata hujui tofauti ya KMK and KMIHii ndiyo taarifa mpya kutoka Ikulu
Mfumuko wa bei ambao hauna uwiano na uzalishaji ni kumuumiza mwananchi .hata mkulima anaumia au unafikiri atakua anakula maharage yake aliyolima kila siku?Acha wakulima wapige hela,macho matatu mbona mnanunua Bei Kali na hamlii!?
Msalimie mama doroth gwajimaMawaziri mguu pande?
Acha uzushi wewe bavichaHii ndiyo taarifa mpya kutoka Ikulu
Akishakupiga hiyo 3500/4000 kwa kilo,mambo yake murua,imagine ana gunia 25!!..maisha lamiMfumuko wa bei ambao hauna uwiano na uzalishaji ni kumuumiza mwananchi .hata mkulima anaumia au unafikiri atakua anakula maharage yake aliyolima kila siku?
Usipende kula hiyo kitu nguruwe ana minyoo mibaya kwa afya ya binadamu.Lakini ni tamu. Tuachane na maharage huku tukila kitimoto na kuunga mkono juhudi za mama yetu....
Bado Namba 3ilikuwa ni suala la muda tu kabla ya Diwani kufanyiwa demotion.
Diwani mwanakwetu, huna siku nyingi kabla ya kupewa Ubalozi.
Kisutu sokoniHiyo bei ya wapi?
Akitoka hapo ananunua mchele kilo Tsh 3500 ili akale wali na maharageAkishakupiga hiyo 3500/4000 kwa kilo,mambo yake murua,imagine ana gunia 25!!..maisha lami
Hizi ndio mada tuzipendazo sisi Watanzania. Kesho kwenye vijiwe vya kahawa mpaka kwenye vijiwe vya vitumbua, tutakuwa tunajadili kuhusu nini amefanya diwani mpaka akaondolewa Tiss.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko ya nafasi za ziongozi Serikalini Ikulu jijini Dares Salaam, leo tarehe 03 Januari, 2023.
Amesema “Mtakumbuka kuwa Novemba 2022, Bunge la Tanzania lilikuwa na mjadala mzito kidogo kuhusu matumizi ya fedha na madaraka katika ofisi zetu za Kibalozi zilizopo Nchi mbalimbali, Serikali inafanyia kazi kasoro zilizoelezwa ili kurudisha hadhi ya balozi zetu.
“Nimefanya mabadili katika ofisi ya Ubalozi iliyopo New York, ambayo inakuwa na Mwakilishi wetu wa kudumu katika Umoja wa Mataifa.
“Ofisi hii ni muhimu kwa Nchi yetu kwa kuwa ndio inatuwakilisha katika mambo yanayojadiliwa na mataifa na taasisi za kimataifa zilizo chini ya Umoja wa Mataifa Mjini New York.
“Ofisi yetu hiyo inahitaji mwanadiplomasia mahiri anayejua siasa za kimataifa, mzalendo kwa nchi yake na mtulivu wa hekima na busara.
“Hivyo nimeamua kumrudisha nyumbani Prof. Kennedy Gaston aliyeko Ofisi ya New York na kumpeleka Hussein Othman Kattanga aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi.
“Kattanga anaenda kuiwakilisha Tanzania kama Balozi wa Kudumu huko New York.
“Nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi itajazwa na DKT. Moses Mpogole Kusiluka aliyekuwa Katibu Mkuu Ikulu.
“Nafasi ya Katibu Mkuu Ikulu itajazwa na Diwani Athuman Msuya aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)
“Nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa itajazwa na Said Hussein Massoro aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu na Mkurugenzi wa Shughuli za ndani za TISS.”