Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Mohamed Omary Mchengerwa aliyekuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo amehamishiwa Wizara ya Maliasili na Utalii
Aidha, Balozi Dkt. Pindi Chana aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii amehamishiwa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbas Said, amekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii
Dkt. Hassan Abbas anachukua nafasi ya Prof. Eliamani M. Sedoyeka
Aidha, Rais Samia amemteua Said Othman Yakub kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo akichukua nafasi ya Dkt. Hassan Abbas
Aidha, Balozi Dkt. Pindi Chana aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii amehamishiwa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbas Said, amekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii
Dkt. Hassan Abbas anachukua nafasi ya Prof. Eliamani M. Sedoyeka
Aidha, Rais Samia amemteua Said Othman Yakub kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo akichukua nafasi ya Dkt. Hassan Abbas