Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Chana chenga tu alikua anapigwa matobo watu wanasafirisha kule yeye hajui kitu maelezo hana, kidoogo Nchengerwa ana umakini ngoja tuone na yeye atapigwa matobo na waarabu auPindi mle hakuna kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chana chenga tu alikua anapigwa matobo watu wanasafirisha kule yeye hajui kitu maelezo hana, kidoogo Nchengerwa ana umakini ngoja tuone na yeye atapigwa matobo na waarabu auPindi mle hakuna kitu
Kuteuliwa kubaya sana, yaan bora ukatae tu hata ukionekana una dharau Ila acha iwe maana hizo nafasi ukiteuliwa muda wowote unapigwa chiniProfesa Sedoyeka alikuwa mkufunzi na mkuu wa chuo pale Arusha (AIA) juzi juzi akateuliwa kuwa katibu mkuu maliasili na utalii na kuupiga chini ukufunzi...
Kama walivyoishia chattotwiga,wataishia uarabuni.
tutashangaa
Labda wamegundua siyo Chawa MtakatifuSedoyeka vipi tena
Soon anapigwa ban ya kudumu akae bench aje mwingine, sasa ile Arena ya Kawe itaendelea au itakuaje?prof Pindi hatadumu hapo
Huyu jamaa alikuwa smart sana wakati alipokuwa pale AiCcProfesa Sedoyeka alikuwa mkufunzi na mkuu wa chuo pale Arusha (AIA) juzi juzi akateuliwa kuwa katibu mkuu maliasili...
Kapigwa chini haraka sana,Huyu jamaa alikuwa smart sana wakati alipokuwa pale AiCc
acheni chuki nyie dini ya ushogasawa..... baraghashi zitawale
jiwe Alikuwa shetanMacho yetu kwako Mungu tuna juwa hata sasa wewe ni Mungu na kwa wakti wako utafanya Yale hayawezekani. Amen
Waarabu ndio walieneza ufiraji pwani, au wasemaje? wazungu wanaiga waarabu walilleta dini ileacheni chuki nyie dini ya ushoga
juzi papa amewaruhusu mmfiraneWaarabu ndio walieneza ufiraji pwani, au wasemaje? wazungu wanaiga waarabu walilleta dini ile
hajasema hivyo, ila amesema ni dhambi. waarabu hata leo pwani ndiyo jadi yaojuzi papa amewaruhusu mmfirane
Kosa lake ni nini? Aliupiga chini ukufunzi ama aliteuliwa?Profesa Sedoyeka alikuwa mkufunzi na mkuu wa chuo pale Arusha (AIA) juzi juzi akateuliwa kuwa katibu mkuu maliasili na utalii na kuupiga chini ukufunzi, leo ametumbuliwa! Sasa sijui atarejea kwenye ukufunzi au atakaa benchi kungojea vyeo vya dezo, uchawa na kujipendekeza kutoka kwa rais!
Ni fedheha sana.