Rais Samia awakosha na kuwapa Tabasamu Watanzania

Rais Samia awakosha na kuwapa Tabasamu Watanzania

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika tuna Rais wa nguvu, Rais wa viwango vya nyota tano, Rais mzalendo, msema kweli, wa kujivunia, mwenye misimamo, kujiamini, na ufahamu wa masuala mbalimbali. Watanzania tuna Rais anayewajua vyema na kwa undani wasaidizi wake na kutambua nani anafaa wapi.

Watanzania tuna kila sababu ya kutembea vifua mbele. Binafsi najivunia sana na kujiona fahari kuongozwa na Rais Samia. Huyu Rais wetu ni mtu wa kipekee, kiongozi kwelikweli, ni jembe haswa, chuma cha reli, mama wa shoka na jasiri. Ni mama imara, hodari na madhubuti. Ni raha na furaha sana kuwa na Mama yetu Ikulu.

Nimeshuhudia Watanzania wakiwa na furaha kubwa sana baada ya kusikia maneno ya uzalendo na yenye kugusa hisia zao. Mama yetu ameongea kwa hisia kali sana na uchungu mkubwa leo hii. Kama tungepata uwezo wa kuonyeshwa moyo wa Rais wetu leo hii, nchi nzima ingebubujikwa kwa machozi ya furaha na huruma kwa Rais wetu.

Rais wetu ameongea kwa hisia kali sana toka ndani ya moyo wake, alipokuwa anawaambia na kuwakumbusha viongozi wote kuwa uongozi ni dhamana na utumishi kwa watu. Na kila kiongozi anatakiwa kutambua kuwa uongozi unatoka kwa Mungu.

Maneno haya ni mazito sana ndugu zangu. Mama yetu mpendwa alikuwa anawakumbusha wateule wake kuwa vyeo walivyonavyo na walivyopewa ni kwa neema tu ya Mwenyezi Mungu na siyo kwa uwezo wao au kuwa na akili kupita wote wasio na vyeo.

Hata mimi napenda kusema kuwa ukiteuliwa na Mheshimiwa Rais ni heshima kubwa sana na neema ya Mungu aliyekupatia kibali hicho. Jiulize leo hii wewe ni Waziri, Mkurugenzi wa Halmashauri, DC, RC, DAS, au RAS. Jiulize imekuwaje wewe tu ndio ukapata nafasi hiyo kati ya mamilioni ya Watanzania?

Kwanini uwe wewe? Kwanini upate uteuzi wewe tu? Kwanini waachwe wengine upate wewe? Kwanini wewe tena umepata saini ya Mheshimiwa Rais? Kwanini watu wamesoma na wana elimu zao lakini wapo mitaani wakifanya kazi za vibarua kwa ujira mdogo huku wakiwa na vyeti vyao majumbani mwao, lakini wewe ukapata uteuzi?

Jiulize umesoma na wangapi? Kwanini umeinuliwa wewe na kuachwa wengine au wenzako? Wangapi wanatamani wangepata uteuzi wa Mheshimiwa Rais lakini hawajawahi kupata au hata kufikiriwa? Jiulize kwanini wewe tu umepata na umeendelea kupata? Umempa nini Mungu? Tumbo lililokubeba lina utofauti gani na matumbo ya wanawake wengine?

Ukijiuliza maswali haya utagundua kuwa ni kwa neema tu ya Mwenyezi Mungu ndio maana umepata heshima hiyo ya kupata uteuzi na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais. Umepewa nafasi ya kuwatumikia Watanzania waliobaki nyuma ili wainuke. Ni fursa ya kipekee uliyopewa na Mungu kugusa maisha ya watu, kuwafuta machozi na kuwapa tabasamu na matumaini kupitia wewe.

Hivyo jitahidi kuwa mwenye huruma, upendo, ukarimu, unyenyekevu, na muungwana kwa watu. Jitahidi kuwatendea watu haki, kuwa na hofu ya Mungu. Usiwe mtu mwenye kiburi, dharau, kejeli, roho mbaya, visasi na moyo wa kuwakomoa watu pasipo sababu. Acha majivuno ndugu yangu, acha kiburi. Vyeo ni vya kupita tu. Leo upo hapo lakini kesho hupo. Acha alama njema za kukumbukwa na watu hata usipokuwepo kesho.

Naomba mniruhusu niweke kalamu chini ili nisiwachoshe maana kichwa changu kimejaa mambo mengi sana ambayo nikisema niandike yote sitaweza kumaliza.

Kazi iendelee. Mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama anatosha kuendelea kuliongoza taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tuna Rais Wa nguvu,Rais wa viwango vya nyota tano,Rais Mzalendo,Rais Msema kweli,Rais wa kujivunia,kujidaia,kujivunia,kuringia,Rais Mwenye Misimamo,Kujiamini na Mwenye ufahamu na uelewa wa masuala mbalimbali.Watanzania tuna Rais Mwenye kuwajua vyema na kwa undani mkubwa wasaidizi wake na kutambua nani yupo vipi na anafaa wapi.

Watanzania Tuna kila sababu ya kutembea vifua mbele. Binafsi najivunia sana na kujiona fahari na mwenye bahati kubwa kuongozwa na Rais Samia. Huyu Rais wetu ni Mtu na nusu ,ni kiongozi kwelikweli,ni jembe haswa,ni chuma cha Reli,ni Mama wa Shoka na jasiri kwelikweli. ni mama imara,hodari na madhubuti kwelikweli. Ni raha na furaha sana kuwa na Mama yetu Ikulu.

Nimeshuhudia Watanzania wakiwa na furaha ,tabasamu na furaha kubwa sana baada ya kusikia maneno ya uzalendo na yenye kugusa hisia za watanzania. Mama yetu ameongea kwa hisia kali sana na uchungu mkubwa na wa hali ya juu sana leo hii.kama tungepata uwezo wa kuonyeshwa Moyo wa Rais wetu leo hii.

Kwa hakika nchi nzima ingebubujikwa kwa machozi ya furaha na huruma kwa Rais wetu. Rais wetu ameongea kwa hisia kali sana toka ndani ya moyo wake ,pale alipokuwa anawaambia na kuwakumbusha viongozi wote kuwa Uongozi ni dhamana na utumishi kwa watu.Na kila kiongozi anatakiwa na kupaswa kutambua kuwa uongozi unatoka kwa Mungu.

Maneno haya ni mazito sana ndugu zangu.Mama yetu mpendwa alikuwa anawakumbusha wateule wake kuwa vyeo walivyonavyo na walivyopewa na kuaminiwa ni kwa Neema tu ya Mwenyezi Mungu na siyo kwa uwezo wao wala kwamba wamewazidi au kuwa na akili kupita wote wasio na vyeo au nafasi hizo.

Hata mimi napenda kusema kuwa ukiteuliwa na Mheshimiwa Rais ni heshima kubwa sana na neema ya Mungu tu aliyekupatia kibali hicho.Jiulize leo hii wewe ni Waziri au mkurungenzi wa Halimashauri au Dc au RC au Das au Ras. Jiulize imekuwaje wewe tu ndio ukapata nafasi hiyo kati ya mamilioni ya watanzania?

Kwanini uwe wewe? Kwanini upate uteuzi wewe tu? Kwanini waachwe wengine upate wewe? Kwanini wewe tena umepata saini ya Mheshimiwa Rais? Kwanini watu wamesoma na wana Elimu zao lakini wapo mitaani wanabeba zege na kuchimba mitaro ya maji kama vibarua kwa ujira mdogo huku wakiwa na vyeti vyao majumbani Mwao ,lakini wewe mwingine ukapata uteuzi?

Jiulize umesoma na wangapi? Kwanini umeinuliwa wewe na kuachwa wengine au wenzako? Wangapi wanatamani wangepata uteuzi wa Mheshimiwa Rais lakini hawajawahi kupata wala hata kufikiriwa wala hata kuwaziwa wala kuwepo kwenye mahesabu wala majina yao kufika Mezani pa Rais? Jiulize kwanini wewe tu umepata na umeendelea kupata? Umempa nini Mungu? Tumbo lililokubeba lina utofauti gani na matumbo ya Wanawake wengine?

Ukijiuliza maswali haya utagundua kuwa ni kwa Neema tu ya Mwenyezi Mungu ndio Maana umepata heshima hiyo ya kupata uteuzi na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais kuwa katika nafasi hiyo uliyopo kuwatumikia watanzania.umepewa nafasi ya kuwatumikia wale uliowaacha nyuma ili wainuke.,ni fursa ya kipekee uliyo pewa na Mungu kugusa Maisha ya watu,ni neema ya Mungu na mpango wa Mungu kuwafuta machozi na kuwapa watu tabasamu na matumaini kupitia wewe.

Hivyo jitahidi kuwa mwenye huruma ,upendo ,ukarimu, unyenyekevu,muungwana kwa watu. Jitahidi kuwatendea watu haki,jitajidi kuwa na hofu ya Mungu.usiwe mtu mwenye kiburi,dharau,kejeli,roho mbaya ,visasi na moyo wa kuwakomoa watu pasipo sababu.acha majivuno ndugu yangu,acha kiburi.vyeo ni vya kupita tu hivi.leo upo hapo lakini kesho hupo hapo. Acha alama njema za kukumbukwa na watu hata usipokuwepo kesho.

Naomba mniruhusu niweke karamu chini ili nisiwachoshe maana kichwa changu kimejaa mambo mengi sana ambayo nikisema niandike hapa yote sitaweza kumaliza.

Kazi iendelee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi WEWE Huwa unatoa wapi hivi VICHEKESHO???
 
Lucas bora tuachane mimi sitaki mume anayeshabikia ccm
ephen wangu binti mwenye akili nyingi Nakupendaa Sanaa. Lakini pia mimi ni msema kweli Daima na UKWELI ni kuwa naipenda sana CCM na kila mmoja mtaani anafahamu namna navyoipenda kwa dhati ya Moyo wangu CCM .

Mimi na wewe tutaendelea kupendana sana ephen wangu kwa sababu kilichotuunganisha mimi na wewe ni upendo tu. Unatakiwa utembeage njiani una ringa kwa sababu umepata mtu mwenye upendo na wewe na mkweli kwelikweli. Ila ipo siku utaipenda CCM na kujuta kwanini ulichelewa kuchukua kadi ya CCM.utajilaumu mpaka utabubujikwa na machozi
 
Back
Top Bottom