Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Picha ya wananchi wanao tabasamu tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha ya wananchi wanao tabasamu tafadhali
Ni watanzaniaHao wananchi wanaotabasam na kufurahi ni mkeo na watoto wako mkuu
Amewakosha wajinga kama wewe. Jitu la hovyo hilo na halijielewi. Wewe ni jinga na zombie na hili chura lako. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketeeNdugu zangu Watanzania,
Kwa hakika tuna Rais wa nguvu, Rais wa viwango vya nyota tano, Rais mzalendo, msema kweli, wa kujivunia, mwenye misimamo, kujiamini, na ufahamu wa masuala mbalimbali. Watanzania tuna Rais anayewajua vyema na kwa undani wasaidizi wake na kutambua nani anafaa wapi.
Watanzania tuna kila sababu ya kutembea vifua mbele. Binafsi najivunia sana na kujiona fahari kuongozwa na Rais Samia. Huyu Rais wetu ni mtu wa kipekee, kiongozi kwelikweli, ni jembe haswa, chuma cha reli, mama wa shoka na jasiri. Ni mama imara, hodari na madhubuti. Ni raha na furaha sana kuwa na Mama yetu Ikulu.
Nimeshuhudia Watanzania wakiwa na furaha kubwa sana baada ya kusikia maneno ya uzalendo na yenye kugusa hisia zao. Mama yetu ameongea kwa hisia kali sana na uchungu mkubwa leo hii. Kama tungepata uwezo wa kuonyeshwa moyo wa Rais wetu leo hii, nchi nzima ingebubujikwa kwa machozi ya furaha na huruma kwa Rais wetu.
Rais wetu ameongea kwa hisia kali sana toka ndani ya moyo wake, alipokuwa anawaambia na kuwakumbusha viongozi wote kuwa uongozi ni dhamana na utumishi kwa watu. Na kila kiongozi anatakiwa kutambua kuwa uongozi unatoka kwa Mungu.
Maneno haya ni mazito sana ndugu zangu. Mama yetu mpendwa alikuwa anawakumbusha wateule wake kuwa vyeo walivyonavyo na walivyopewa ni kwa neema tu ya Mwenyezi Mungu na siyo kwa uwezo wao au kuwa na akili kupita wote wasio na vyeo.
Hata mimi napenda kusema kuwa ukiteuliwa na Mheshimiwa Rais ni heshima kubwa sana na neema ya Mungu aliyekupatia kibali hicho. Jiulize leo hii wewe ni Waziri, Mkurugenzi wa Halmashauri, DC, RC, DAS, au RAS. Jiulize imekuwaje wewe tu ndio ukapata nafasi hiyo kati ya mamilioni ya Watanzania?
Kwanini uwe wewe? Kwanini upate uteuzi wewe tu? Kwanini waachwe wengine upate wewe? Kwanini wewe tena umepata saini ya Mheshimiwa Rais? Kwanini watu wamesoma na wana elimu zao lakini wapo mitaani wakifanya kazi za vibarua kwa ujira mdogo huku wakiwa na vyeti vyao majumbani mwao, lakini wewe ukapata uteuzi?
Jiulize umesoma na wangapi? Kwanini umeinuliwa wewe na kuachwa wengine au wenzako? Wangapi wanatamani wangepata uteuzi wa Mheshimiwa Rais lakini hawajawahi kupata au hata kufikiriwa? Jiulize kwanini wewe tu umepata na umeendelea kupata? Umempa nini Mungu? Tumbo lililokubeba lina utofauti gani na matumbo ya wanawake wengine?
Ukijiuliza maswali haya utagundua kuwa ni kwa neema tu ya Mwenyezi Mungu ndio maana umepata heshima hiyo ya kupata uteuzi na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais. Umepewa nafasi ya kuwatumikia Watanzania waliobaki nyuma ili wainuke. Ni fursa ya kipekee uliyopewa na Mungu kugusa maisha ya watu, kuwafuta machozi na kuwapa tabasamu na matumaini kupitia wewe.
Hivyo jitahidi kuwa mwenye huruma, upendo, ukarimu, unyenyekevu, na muungwana kwa watu. Jitahidi kuwatendea watu haki, kuwa na hofu ya Mungu. Usiwe mtu mwenye kiburi, dharau, kejeli, roho mbaya, visasi na moyo wa kuwakomoa watu pasipo sababu. Acha majivuno ndugu yangu, acha kiburi. Vyeo ni vya kupita tu. Leo upo hapo lakini kesho hupo. Acha alama njema za kukumbukwa na watu hata usipokuwepo kesho.
Naomba mniruhusu niweke kalamu chini ili nisiwachoshe maana kichwa changu kimejaa mambo mengi sana ambayo nikisema niandike yote sitaweza kumaliza.
Kazi iendelee. Mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama anatosha kuendelea kuliongoza taifa letu kwa muhula wa pili.
Tangu lini Lukas akaweka picha au video. Anachokijua yeye ni kutunga story ndefu kupoteza watu muda na kujaza sever ya JF.Lete picha bana.
Tangazo TangazoNdugu zangu Watanzania,
Kwa hakika tuna Rais wa nguvu, Rais wa viwango vya nyota tano, Rais mzalendo, msema kweli, wa kujivunia, mwenye misimamo, kujiamini, na ufahamu wa masuala mbalimbali. Watanzania tuna Rais anayewajua vyema na kwa undani wasaidizi wake na kutambua nani anafaa wapi.
Watanzania tuna kila sababu ya kutembea vifua mbele. Binafsi najivunia sana na kujiona fahari kuongozwa na Rais Samia. Huyu Rais wetu ni mtu wa kipekee, kiongozi kwelikweli, ni jembe haswa, chuma cha reli, mama wa shoka na jasiri. Ni mama imara, hodari na madhubuti. Ni raha na furaha sana kuwa na Mama yetu Ikulu.
Nimeshuhudia Watanzania wakiwa na furaha kubwa sana baada ya kusikia maneno ya uzalendo na yenye kugusa hisia zao. Mama yetu ameongea kwa hisia kali sana na uchungu mkubwa leo hii. Kama tungepata uwezo wa kuonyeshwa moyo wa Rais wetu leo hii, nchi nzima ingebubujikwa kwa machozi ya furaha na huruma kwa Rais wetu.
Rais wetu ameongea kwa hisia kali sana toka ndani ya moyo wake, alipokuwa anawaambia na kuwakumbusha viongozi wote kuwa uongozi ni dhamana na utumishi kwa watu. Na kila kiongozi anatakiwa kutambua kuwa uongozi unatoka kwa Mungu.
Maneno haya ni mazito sana ndugu zangu. Mama yetu mpendwa alikuwa anawakumbusha wateule wake kuwa vyeo walivyonavyo na walivyopewa ni kwa neema tu ya Mwenyezi Mungu na siyo kwa uwezo wao au kuwa na akili kupita wote wasio na vyeo.
Hata mimi napenda kusema kuwa ukiteuliwa na Mheshimiwa Rais ni heshima kubwa sana na neema ya Mungu aliyekupatia kibali hicho. Jiulize leo hii wewe ni Waziri, Mkurugenzi wa Halmashauri, DC, RC, DAS, au RAS. Jiulize imekuwaje wewe tu ndio ukapata nafasi hiyo kati ya mamilioni ya Watanzania?
Kwanini uwe wewe? Kwanini upate uteuzi wewe tu? Kwanini waachwe wengine upate wewe? Kwanini wewe tena umepata saini ya Mheshimiwa Rais? Kwanini watu wamesoma na wana elimu zao lakini wapo mitaani wakifanya kazi za vibarua kwa ujira mdogo huku wakiwa na vyeti vyao majumbani mwao, lakini wewe ukapata uteuzi?
Jiulize umesoma na wangapi? Kwanini umeinuliwa wewe na kuachwa wengine au wenzako? Wangapi wanatamani wangepata uteuzi wa Mheshimiwa Rais lakini hawajawahi kupata au hata kufikiriwa? Jiulize kwanini wewe tu umepata na umeendelea kupata? Umempa nini Mungu? Tumbo lililokubeba lina utofauti gani na matumbo ya wanawake wengine?
Ukijiuliza maswali haya utagundua kuwa ni kwa neema tu ya Mwenyezi Mungu ndio maana umepata heshima hiyo ya kupata uteuzi na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais. Umepewa nafasi ya kuwatumikia Watanzania waliobaki nyuma ili wainuke. Ni fursa ya kipekee uliyopewa na Mungu kugusa maisha ya watu, kuwafuta machozi na kuwapa tabasamu na matumaini kupitia wewe.
Hivyo jitahidi kuwa mwenye huruma, upendo, ukarimu, unyenyekevu, na muungwana kwa watu. Jitahidi kuwatendea watu haki, kuwa na hofu ya Mungu. Usiwe mtu mwenye kiburi, dharau, kejeli, roho mbaya, visasi na moyo wa kuwakomoa watu pasipo sababu. Acha majivuno ndugu yangu, acha kiburi. Vyeo ni vya kupita tu. Leo upo hapo lakini kesho hupo. Acha alama njema za kukumbukwa na watu hata usipokuwepo kesho.
Naomba mniruhusu niweke kalamu chini ili nisiwachoshe maana kichwa changu kimejaa mambo mengi sana ambayo nikisema niandike yote sitaweza kumaliza.
Kazi iendelee. Mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama anatosha kuendelea kuliongoza taifa letu kwa muhula wa pili.
ephen_ popote ulipo agiza breakfast ya nguvu kisha nitumie namba ya Tigo lipa nilipie bili yako. Umenifurahisha sana hadi nabubujikwa na machozi ya furaha.Lucas bora tuachane mimi sitaki mume anayeshabikia ccm
Halafu tunakuwa na vijana wa hovyo kama huyu Lucas MwashambwaTrue ndiyo maana tunaungozi wa hovyo sn
Huyu ni PS wa UWT yupo sahihi anachokifanyaHalafu tunakuwa na vijana wa hovyo kama huyu Lucas Mwashambwa
Mara nyingi akilala na njaa ndiyo huwa anaota njozi hizIHivi WEWE Huwa unatoa wapi hivi VICHEKESHO???
Talaka hadharani.Luca awa mjane/mgane ghafla bin vuu!Atalia na kububujikwa machozi mengi sana.Lucas bora tuachane mimi sitaki mume anayeshabikia ccm
Mkuu acha hasira.Mungu katuumbia na viburudisho.Luca akiwemo.Amewakosha wajinga kama wewe. Jitu la hovyo hilo na halijielewi. Wewe ni jinga na zombie na hili chura lako. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
Lucas huyoPicha ya wananchi wanao tabasamu tafadhali
Meno yamejaa ukungu wa maparachichi.Mola amrehemu.🤣🙏Lucas huyo
Na ndiyo maana hamteui kwa vile anajua kuwa hizi siyo sifa bali ni kejeli.Sa100 mwenyew akisoma hapa anakushangaa hizo sifa zote umempa mbona hanazo!
Ukimuona mtu mwenyewe, mfupi, miguu ina vigimbi na matege kisha ana kitambi cha maparachichi yaani yuko kama moja wa wale wahusika kwenye timu ya mabush star wa enzi za gazeti la Sani.Meno yamejaa ukungu wa maparachichi.Mola amrehemu.🤣🙏