Rais Samia awakosha na kuwapa Tabasamu Watanzania

Rais Samia awakosha na kuwapa Tabasamu Watanzania

Maneno peke yake hayawezi kuleta furaha kwa watu, watu awali maneno,awaishi kwenye maneno wala hayaondoi maumivu ya wagonjwa wanaokosa dawa hospitalini na hayarudishi maliasili za nchi na hayatoi haki za waliodhulumiwa.
 
ephen_ popote ulipo agiza breakfast ya nguvu kisha nitumie namba ya Tigo lipa nilipie bili yako. Umenifurahisha sana hadi nabubujikwa na machozi ya furaha.
Kwa taarifa yako ephen alivyo na upendo kwangu.atanipa hiyo hela utakayomtumia.Tunapendana na ephen mpaka shetani anaona wivu.
 
ephen wangu binti mwenye akili nyingi Nakupendaa Sanaa. Lakini pia mimi ni msema kweli Daima na UKWELI ni kuwa naipenda sana CCM na kila mmoja mtaani anafahamu namna navyoipenda kwa dhati ya Moyo wangu CCM .

Mimi na wewe tutaendelea kupendana sana ephen wangu kwa sababu kilichotuunganisha mimi na wewe ni upendo tu. Unatakiwa utembeage njiani una ringa kwa sababu umepata mtu mwenye upendo na wewe na mkweli kwelikweli. Ila ipo siku utaipenda CCM na kujuta kwanini ulichelewa kuchukua kadi ya CCM.utajilaumu mpaka utabubujikwa na machozi
Meseji kwa mpenzi wako imejaa neno CCM utadhani unamwandikia mwenezi wa chama....
 
Back
Top Bottom