Rais Samia awakosha na kuwapa Tabasamu Watanzania

Tafadhali Lucas naomba tuwekee japo picha ya raia wanaobubujikwa machozi ya furaha kwa kazi nzuri za Mama,. Vichekesho vyako ni grade one, King Majuto mzee wa 'kumekucha' tayari umemuacha mbali!

Ila nakuunga mkono na miguu, Mama anatosha, Mama ameweza, mitano tena.

Kesho nami nitaweka namba ya cm japo nipewe uteuzi ujumbe wa serikali ya mtaa huku Buza Mpalanger kwetu tunashinda Yanga , tunakula Yanga, tunalala Yanga!!!
 
Amewakosha wajinga kama wewe. Jitu la hovyo hilo na halijielewi. Wewe ni jinga na zombie na hili chura lako. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
 
Hizo sifa ulizotoa mbona Samia hata Moja yake tu Hana....!

Huyo ni kiongozi ambaye hajui anafanya Nini na alipaswa kufanya nini, nchi inajiendea tu, watu wanaongeza urefu wa kamba na ndugu yetu kaziba masikio hataki kusikia chochote kutoka kwa yeyote kwa sababu anajua Kila kitu, katika uso huu wa Dunia hakuna mwenye akili kumzidi.
 
Tangazo Tangazo
Huyu ni mgonjwa wetu, ametoroka mirembe asubuhi ya leo. Chochote anachokiandika hapa, bado hajapona na kakimbia matibabu. Mchukulieni hivyohivyo.
MILEMBE HOSPITAL DODOMA TANZANIA
 
Amewakosha wajinga kama wewe. Jitu la hovyo hilo na halijielewi. Wewe ni jinga na zombie na hili chura lako. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
Mkuu acha hasira.Mungu katuumbia na viburudisho.Luca akiwemo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…