Rais Samia awakosha na kuwapa Tabasamu Watanzania

Maneno peke yake hayawezi kuleta furaha kwa watu, watu awali maneno,awaishi kwenye maneno wala hayaondoi maumivu ya wagonjwa wanaokosa dawa hospitalini na hayarudishi maliasili za nchi na hayatoi haki za waliodhulumiwa.
 
ephen_ popote ulipo agiza breakfast ya nguvu kisha nitumie namba ya Tigo lipa nilipie bili yako. Umenifurahisha sana hadi nabubujikwa na machozi ya furaha.
Kwa taarifa yako ephen alivyo na upendo kwangu.atanipa hiyo hela utakayomtumia.Tunapendana na ephen mpaka shetani anaona wivu.
 
Meseji kwa mpenzi wako imejaa neno CCM utadhani unamwandikia mwenezi wa chama....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…