Rais Samia awapiga dongo wakazi wa Dar

Siku zote alie ashiba hamuelewi mwenye njaa!
Ningeshangaa sana kama asingeongea kauli ya namna hio!
 
hiyo ndio akili ya mama yenu yaani anataka hata akiwaingizia mitu huko mji mpya msilalamike kaeni kimya tu makondoo nyie, watu wanaoga maji ya bahari rais anataka wasilalamike duh naanza kumuelewa vyema hangaya kabla sijaanza kufukua mengine mengi, kwakweli nitabeba boksi mpaka kieleweke kama thinking ya kiongozi wetu huko nyumbani iko hivi, wajinga ndio waliwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…