Rais Samia awapigia simu wasanii kwenyekusanyiko la 'Ongea na Mama'

Rais Samia awapigia simu wasanii kwenyekusanyiko la 'Ongea na Mama'

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Rais Samia amewapigia simu Wasanii wa Dance, Waigizaji na wengine kuzungumza nao live kupitia Mwigizaji @SteveNyerere2 usiku Dar es Salaam kwenye kusanyiko la ‘Ongea na Mama’ na kuwaahidi kujumuika nao siku moja kwa ajili ya chakula cha jioni.

 
Rais Samia amewapigia simu Wasanii wa Dance, Waigizaji na wengine kuzungumza nao live kupitia Mwigizaji @SteveNyerere2 usiku Dar es salaam kwenye kusanyiko la ‘Ongea na Mama’ na kuwaahidi kujumuika nao siku moja kwa ajili ya chakula cha jioni.

C801297B-0CE9-4FA8-A094-E9708F83147C.jpeg
 
Rais Samia amewapigia simu Wasanii wa Dance, Waigizaji na wengine kuzungumza nao live kupitia Mwigizaji @SteveNyerere2 usiku Dar es salaam kwenye kusanyiko la ‘Ongea na Mama’ na kuwaahidi kujumuika nao siku moja kwa ajili ya chakula cha jioni.
Kodi zetu hazithaminiwi kabisa Imagine na Bei hii ya bando halafu step mom anapiga simu zisizo na miguu Wala mkia
 
Rais Samia amewapigia simu Wasanii wa Dance, Waigizaji na wengine kuzungumza nao live kupitia Mwigizaji @SteveNyerere2 usiku Dar es salaam kwenye kusanyiko la ‘Ongea na Mama’ na kuwaahidi kujumuika nao siku moja kwa ajili ya chakula cha jioni.
Huyu mama kiukweli hana mbinu , leo nimethibitisha bila shaka
 
Roma mkatoliki na Konki master nao watakuwepo..
Yule dogo anayefurahi akiona suti nae atakuwepo?
Oppter je?
 
Back
Top Bottom