Rais Samia awapigia simu wasanii kwenyekusanyiko la 'Ongea na Mama'

Rais Samia awapigia simu wasanii kwenyekusanyiko la 'Ongea na Mama'

Rais Samia amewapigia simu Wasanii wa Dance, Waigizaji na wengine kuzungumza nao live kupitia Mwigizaji @SteveNyerere2 usiku Dar es salaam kwenye kusanyiko la ‘Ongea na Mama’ na kuwaahidi kujumuika nao siku moja kwa ajili ya chakula cha jioni.
Aachane na hawa jamaa wasiolinda maadili
 
Back
Top Bottom