OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Rais Samia amewapigia simu Wasanii wa Dance, Waigizaji na wengine kuzungumza nao live kupitia Mwigizaji @SteveNyerere2 usiku Dar es salaam kwenye kusanyiko la ‘Ongea na Mama’ na kuwaahidi kujumuika nao siku moja kwa ajili ya chakula cha jioni.
Kodi zetu hazithaminiwi kabisa Imagine na Bei hii ya bando halafu step mom anapiga simu zisizo na miguu Wala mkiaRais Samia amewapigia simu Wasanii wa Dance, Waigizaji na wengine kuzungumza nao live kupitia Mwigizaji @SteveNyerere2 usiku Dar es salaam kwenye kusanyiko la ‘Ongea na Mama’ na kuwaahidi kujumuika nao siku moja kwa ajili ya chakula cha jioni.
Hata Nikki Mbishi hayupo hizo shughuli zina wenyeweNa mwanangu P mawenge atakuwepo huko au wameitana kindugunization?
Aah miyeyusho tu afu huyu raisi sijui analichukuliaje neno wasanii?Hata Nikki Mbishi hayupo hizo shughuli zina wenyewe
Huyu mama kiukweli hana mbinu , leo nimethibitisha bila shakaRais Samia amewapigia simu Wasanii wa Dance, Waigizaji na wengine kuzungumza nao live kupitia Mwigizaji @SteveNyerere2 usiku Dar es salaam kwenye kusanyiko la ‘Ongea na Mama’ na kuwaahidi kujumuika nao siku moja kwa ajili ya chakula cha jioni.
Sasa hawa watembea uchi ndio wanaweza kumshawishi nani ? angalia tangazo la Aunt Ezekiel , nina hakika utalia
Vipi kuhusu Maalim Nash? Dizasta vina? Uno? Stereo? Zaiid??Na mwanangu P mawenge atakuwepo huko au wameitana kindugunization?
Hao wote kimziki ni balaa mzee sema siko nao personal kama pVipi kuhusu Maalim Nash? Dizasta vina? Uno? Stereo? Zaiid??