Ni katika "statement" ya hovyo aliyowahi kuitoa mh.Ndugai...Yaani Sisi Tuje Tuuzwe Kweli
Mtaamua Wenyewe Wananchi Tuendelee Kukopa Ama
By Job Ndugai
Zama....Mwenye bahati zao ni hao wasimamizi wake samiha wana raha sana maana hawaumizi kichwa wao ni kumsindikiza na kula bataaa.
Yule bwana wasimamizi wake walikuwa kama watumishi wa halmashauri tu.
Labda kulizuru sio kulisujudia π€£Hivi ataenda kulisujudia Kaburi la Chairman Mao?!
Tutalipa tu πππMtumeeee akikopa huko je?.
Shida anakopa zinakuja kuliwa kwa urefu wa kamba.ππTutalipa tu πππ
Itabidi awashitukie tu!Shida anakopa zinakuja kuliwa kwa urefu wa kamba.ππ
Hizo Siasa za huyo marehemu ndio zimelifikisha Taifa letu kwenye mikwamo.Labda kulizuru sio kulisujudia π€£
Ni mtazamo wako πHizo Siasa za huyo marehemu ndio zimelifikisha Taifa letu kwenye mikwamo.
Alimdanganya sana Mwalimu Nyerere.
Mama hana bayaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Beijing Capital nchini China kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa nchi na Serikali wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) tarehe 03 Septemba, 2024.
#SamiaAPP
#KaziIendelee
Yeye mwenyewe huyo Suluhu ana Suluhu Zanzibar pekee huku bara tozoniaMwenye bahati zao ni hao wasimamizi wake samiha wana raha sana maana hawaumizi kichwa wao ni kumsindikiza na kula bataaa.
Yule bwana wasimamizi wake walikuwa kama watumishi wa halmashauri tu.