Hao wamelazimishwa Kwa nguvu Kwa kutishiwa watafutwa kazi(walimu) na kufukuzwa masomo(wanafunzi) wasiposhiriki huo mkusanyiko.Bibi yangu ni mwalimu anakaribia kustaafu ameenda Kwa kulazimishwa na Mimi nimemshauri asiende kama wakitaka wamfukuze sawa na tutakutana mahakamani.
Nitakuwa Mwanza kuanzia leo mpaka tarehe 15. Nitafanya shughuli kadhaa nikiwa ndani ya mkoa wa Mwanza, Leo baada ya kusalimiana nanyi nitakuwa na mazungumzo na viongozi wa dini, na baadaye nitakuwa nao usiku viongozi wa dini wa mkoa mzima wa Mwanza.
Habarini Ndugu Zangu Wa JF
Leo nimekuja Mwanza kidogo kwa Mambo yangu binafsi ila tumekuja Pamoja na Gerson Msigwa..Ally Happy hawa Wote niliowaona leo Live nilikuwa nawaona kwa Tv tu Pia Diamon na Zuchu pia Madee pia isha Mashauzi pia Whozu ni Wengi Au kuna Tamasha?? Make huu mtandao ndio ninauamini Sana Una Latest News Asanteniš