Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Siyo rahisi mtu kula pesa ya umma sema huyu mtu wenu ni mdini snPongezi kwa Rais wetu kwa kuwa makini katika usimamizi wa fedha za serikali ,lakini pia naomba hao wahusika wafikishwe mbele ya sheria ili kuwajibika kwa walichokifanya.
#kaziiendelee
Ili akatafune kwingine. Mama kama kweli ameamua kufukunyua haya ya ujenzi wa madarasa ya COVID, basi mnyororo wa wawajibishwa ni mrefu.Yupo mkuu wa Shule X akishirikiana na SlO wa zamani wametafuna pesa kisha mkuu wa Shule X kahamishwa Pia na mratibu wa kata W iliopo kijiji shells nae kahamishwa.lakini wote hao hawakukabidhi miradi
Acheni majungu jiji la Dodoma linaendeshwa vizuri. Na hata fedha za uviko19 zimetumika inavyostahili.Yaani anajiona sana ila utendaji wake ni sifuri. Ameshindwa kabisa.
Shule nyingi za sekondari wilayani buchosa zimeshamaliza fedha kwenye account zao kingali ujenzi haujakamilika na waliokamilisha bado upo chini ya kiwango na mafundi wengi bado wanadai fedha zao hawajalipwa. Hawa mafisadi warudishe fedha kisha wapewe kesi za uhujumu uchumi
Hii ni mojawapo ya shule ya Sekondari na hayo ni majengo ya mradi wa fedha za UVIKO 19 pesa imeshaisha na vioo na miundombinu mingine haijawekwa. Mafundi wanadai chao. Jana zimesikika fununu wakaguzi wanaingia muda wowote hapo kukagua.
Upo Mkuu😎Anatumbuliwaje mtu kwa sababu tu ya tuhuma? Je tuhuma zikishindwa kuthobitishwa? Namkumbuka yule Mkurugenzi aliyechongewa na mbunge wake kuwa kajinunulia Vieiti kinyume na utaratibu! Mwisho wa siku ikagundulika kuwa alikuwa na baraka zote zilizotakiwa. Utumbuaji wa namna hii inawapa nguvu wale wanaopenda kuchonganisha na kuwaharibia watu.
Amandla...
Sawa Msanii😂Kafia kwenye sufuria la supu
Yule ni mzee bhana anaanzaje kubaka, kama sijakosea ni zaidi 65yrsHao kosa lao itakuwa wamekula wakavimbiwa, Rais hapendi hilo anataka ule kwa kiasi.
Huyo mkurugenzi wa Iringa sio yule alieshutumiwa kwa ubakaji siku chache zilizopita? kama ndie akapumzike tu, yeye alikuwa hachagui vyakula anabugia chochote.
Huyo Limbe kila Halmashauri anayoenda kazi ni kuzalisha madeni tu.Wawili ni wa mama, lubuva na amede. Malala na limbe ndio wa jiwe
Akili yako na wewe! kama wasukuma ni wengi basi na wenye makosa ni wengiDaganya toto hii,hapo wanatafutwa wasukuma,kati ya hao wanne,watatu ni wasukuma
Wezi wa kuku wako magereza wakisota, nakumbuka kuna mtu alifungwa miaka huko morogoro kwa kukutwa na maini ya swala, lakini wakurugenzi wakiiba mamilioni wanatumbuliwa halafu inashia hivo.Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa njiani kutoka Mwanza kwenda mkoani Mara, leo Ijumaa ametangaza kutengua uteuzi wa wakurugenzi wanne wa Halmashauri ya Buchosha, Iringa, Mbeya na Singida Mjini baada ya kubainika kutumia vibaya fedha za UVIKO-19.
---
Rais Samia Suluhu Hassan amewatengua Wakurugenzi wa Halmashauri nne kutokana na tuhuma za matumizi mabaya ya fedha na amesema Mkurugenzi wa Geita kama akikutwa na ubadhirifu pia tataenguliwa
Wakurugenzi waliotenguliwa ni Mkurugenzi wa Buchosa, Iringa, Mbeya Mjini na Singida Mjini. Utenguzi umefanyika baada ya Waziri wa OR-TAMISEMI Innocent Bashungwa kusema wanafanya uchunguzi wa haraka kwa wakurugenzi walioripotiwa kufanya ubadhirifu
Halmashauri ya Buchosa ilikuwa chini ya Mkurugenzi Paulo Malala, Mkurugenzi wa Iringa ni Limbe B. Limbe, Mkurugenzi wa Singida Mjini ni Zefrin Kimolo Lubuva, na Mbeya Mjini ni Amede E.A Ngwanidako
lubuva aliteuliwa na jiwe kuwa ded same akitokea kuwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa oysterbay.Wawili ni wa mama, lubuva na amede. Malala na limbe ndio wa jiwe
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa njiani kutoka Mwanza kwenda mkoani Mara, leo Ijumaa ametangaza kutengua uteuzi wa wakurugenzi wanne wa Halmashauri ya Buchosha, Iringa, Mbeya na Singida Mjini baada ya kubainika kutumia vibaya fedha za UVIKO-19.
---
Rais Samia Suluhu Hassan amewatengua Wakurugenzi wa Halmashauri nne kutokana na tuhuma za matumizi mabaya ya fedha na amesema Mkurugenzi wa Geita kama akikutwa na ubadhirifu pia tataenguliwa
Wakurugenzi waliotenguliwa ni Mkurugenzi wa Buchosa, Iringa, Mbeya Mjini na Singida Mjini. Utenguzi umefanyika baada ya Waziri wa OR-TAMISEMI Innocent Bashungwa kusema wanafanya uchunguzi wa haraka kwa wakurugenzi walioripotiwa kufanya ubadhirifu
Halmashauri ya Buchosa ilikuwa chini ya Mkurugenzi Paulo Malala, Mkurugenzi wa Iringa ni Limbe B. Limbe, Mkurugenzi wa Singida Mjini ni Zefrin Kimolo Lubuva, na Mbeya Mjini ni Amede E.A Ngwanidako