Rais Samia azindua Hoteli ya Gran Melia jijini Arusha

Rais Samia azindua Hoteli ya Gran Melia jijini Arusha

NUKUU ZA RAIS SAMIA LEO ARUSHA KATIKA UZINDUZI WA GRAN MELIA HOTEL

IMG-20211122-WA0028.jpg


IMG-20211122-WA0029.jpg


IMG-20211122-WA0030.jpg


IMG-20211122-WA0031.jpg


IMG-20211122-WA0032.jpg
 
Waziri wa Mali Asili na Utalii hajitambui yupo yupo tu. Hana impact yeyote...Hana ubunifu

Inawezekana hajifunzi kitu, au wataalamu wizara yake wanatetea masilahi yao... business as usual

WAZIRI Ngumbaru anashindwa kutekeleza ilani ya CCM. KATIBU Mkuu CCM amkumbushe Rais ilani ya Chama Cha Mapinduzi..kuleta watalii million 5 ifikapo 2025..

Up to now No ideas, no road map

Kila kitu ni matukio. Waziri Hana impact. Waziri kazi yake ni kutekeleza ilani ya Chama chake.

Waziri umefeli. Waziri aende Wizara ya Katiba na Sheria, au Wizara ya Kazi huko.

Mtakuja kuona tu, hapo 2025 watakuja na visingizio.

Waziri aje na mbinu za kuongeza watalii..yeye ni matukio tu, mara Marathon...sijui nini
 
Wameua Impala na Ngurdoto sasa wanakuja na ngonjera
 
Maneno mengi mnashindwa hata kuweka picha ya Hotel tuione
 
Waziri wa Mali Asili na Utalii hajitambui yupo yupo tu. Hana impact yeyote...Hana ubunifu

Inawezekana hajifunzi kitu, au wataalamu wizara yake wanatetea masilahi yao... business as usual

WAZIRI Ngumbaru anashindwa kutekeleza ilani ya CCM. KATIBU Mkuu CCM amkumbushe Rais ilani ya Chama Cha Mapinduzi..kuleta watalii million 5 ifikapo 2025..

Up to now No ideas, no road map

Kila kitu ni matukio. Waziri Hana impact. Waziri kazi yake ni kutekeleza ilani ya Chama chake.

Waziri umefeli. Waziri aende Wizara ya Katiba na Sheria, au Wizara ya Kazi huko.

Mtakuja kuona tu, hapo 2025 watakuja na visingizio.

Waziri aje na mbinu za kuongeza watalii..yeye ni matukio tu, mara Marathon...sijui nini
Waziri Mchengerwa awaone akina Ndumbaro na Mkenda
 
Back
Top Bottom