Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Hahaha.. umenikumbusha kaniki enzi hizo ndo vazi rasmi la kina mama, msuli kwa kina baba, chacha au viatu vya mgogo kwa vijana wa mjini ndio ilikuwa fasion yenyew. Chai ya mkono mmoja yan chai na kiazi 1 cha kuchemsha, tena ikipikwa chai sifuria ya lita tano inahisabiwa vijiko vitano vya sukari yan kila lita kijiko kimoja. Ilikuwa ngumu kumjua kijana wala mzee maana wote ilikuwa ni hali moja kupauka na kunyong'onyea kutokana na kukosa lishe bora nk, bila kusahau suruali za midabwada. Aisee nchii kidogo tu ingekuwa nusu ya jahanamuHuyu dogo hafahamu watu walivaa kaniki kwa kukosa sabuni