SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Yuko bize na kibarua cha muda alichopata Tume ya Uchaguzi kwenye maboresho ya daftari la wapiga kura huko Mbozi.Mbona simuoni Lucas Mwashambwa ama hana taarifa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko bize na kibarua cha muda alichopata Tume ya Uchaguzi kwenye maboresho ya daftari la wapiga kura huko Mbozi.Mbona simuoni Lucas Mwashambwa ama hana taarifa??
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Akizindua Rasmi Mradi wa Mkakati wa Treni ya Umeme ya SGR Dar es Salaam hadi Dodoma, leo tarehe 1 Agosti, 2024.
Rais Samia amewapongeza watanzania wote kwa kukamilisha mradi huu na amesema anapenda mradi huu uiunganishe Tanzania hadi Burundi kwasababu Afrika ipo disconnected hivyo kurudisha nyuma ukuaji wa biashara. Kuungana na Burundi na DRC kutapunguza uhitaji wa soko la nje maana biashara nyingi zitafanyika hapa.
Aidha, Rais amesema mojawapo ya athari za mradi huu ambayo imeshaanza kuonekana ni kupungua kwa mabasi barabarani ambapo kwa wafanyabiashara ni mbaya lakini kwa nchi ni nzuri maana inapunguza ajali na kuwezesha udhibiti mzuri wa usafiri barabarani.
Dhumuni la SGR ni kuwezesha biashara na na hadi sasa yapo mabehewa ya kusafirisha mizigo mingi.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), SGR kwa sasa inasafirisha wastani wa watu 7000 kwa siku.
Hapo ndio utaona tofauti ya wateule na viherehereMbona simuoni Lucas Mwashambwa ama hana taarifa??
kwani vioo vinafunguka?Watu wasitupe mabaki ya vyakula na chupa za juisi kuepusha Ngedere kupiga kambi pembeni mwa reli kama kule Mlimani Sekenke barabarani.....
Watu wasitupe mabaki ya vyakula na chupa za juisi kuepusha Ngedere kupiga kambi pembeni mwa reli kama kule Mlimani Sekenke barabarani.....
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Akizindua Rasmi Mradi wa Mkakati wa Treni ya Umeme ya SGR Dar es Salaam hadi Dodoma, leo tarehe 1 Agosti, 2024.
Rais Samia amewapongeza watanzania wote kwa kukamilisha mradi huu na amesema anapenda mradi huu uiunganishe Tanzania hadi Burundi kwasababu Afrika ipo disconnected hivyo kurudisha nyuma ukuaji wa biashara. Kuungana na Burundi na DRC kutapunguza uhitaji wa soko la nje maana biashara nyingi zitafanyika hapa.
Aidha, Rais amesema mojawapo ya athari za mradi huu ambayo imeshaanza kuonekana ni kupungua kwa mabasi barabarani ambapo kwa wafanyabiashara ni mbaya lakini kwa nchi ni nzuri maana inapunguza ajali na kuwezesha udhibiti mzuri wa usafiri barabarani.
Dhumuni la SGR ni kuwezesha biashara na na hadi sasa yapo mabehewa ya kusafirisha mizigo mingi.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), SGR kwa sasa inasafirisha wastani wa watu 7000 kwa siku.