Rais Samia azindua Rasmi Mradi wa Mkakati wa Treni ya Umeme ya SGR Dar es Salaam hadi Dodoma, leo Agosti 1, 2024

sijawaona muheshimiwa bundi na ngedere kwenye huo uzindizi au wamenyimwa mualiko!
 
Hongera sana MH Rais wetu
Kwakweli tunayo kila sàbabu ya kukushukuru kwa hatua hii kubwa tuliyopiga
Matano tena kwa mama👏👏👏👏👏
 
Mungu asaidie kudhibiti wale wote watakaokuwa na Nia ya kuhujumu mradi huu Mkubwa wa kimkakati katika ukuaji.wa uchumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…