Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Rais Samia aliyasema hayo akifunga Kikao Maalum cha Baraza Kuu la Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) jana Septemba 28, 2024.
"… mabadiliko yote yanayotokea ni katika kukiimarisha chama chetu tukitambua kwamba bado hatujapata mbadala wa chama cha kuongoza nchi hii, bado hatujakipata.
"Kwahiyo ni lazima tuimarike na tusimame imara kuiendesha Tanzania ambayo tumeifungua kwa fursa nyingi sana, lazima tuimarike.
"Lakini vilevile mmeshuhudia mabadiliko ndani ya chama chetu ya vitendea kazi, tumeweza kukipatia chama vitendea kazi na hakuna sababu kwanini tushuke chini ya asilimia 80 katika chaguzi zinazoendelea, kwasababu kawa, wilaya, mkoa, na taifa kote kuna vitendea kazi na ndio maana mmesema mmeweza kuzunguka maeneo yote hayo kwasababu mmewezeshwa kufanya hivyo."
"… mabadiliko yote yanayotokea ni katika kukiimarisha chama chetu tukitambua kwamba bado hatujapata mbadala wa chama cha kuongoza nchi hii, bado hatujakipata.
"Kwahiyo ni lazima tuimarike na tusimame imara kuiendesha Tanzania ambayo tumeifungua kwa fursa nyingi sana, lazima tuimarike.
"Lakini vilevile mmeshuhudia mabadiliko ndani ya chama chetu ya vitendea kazi, tumeweza kukipatia chama vitendea kazi na hakuna sababu kwanini tushuke chini ya asilimia 80 katika chaguzi zinazoendelea, kwasababu kawa, wilaya, mkoa, na taifa kote kuna vitendea kazi na ndio maana mmesema mmeweza kuzunguka maeneo yote hayo kwasababu mmewezeshwa kufanya hivyo."