Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mchengerwa atapewa nchiAnayetafuta mrithi wa CCM kuongoza ni CCM au Wana chi?
Shibe mbaya san.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchengerwa atapewa nchiAnayetafuta mrithi wa CCM kuongoza ni CCM au Wana chi?
Shibe mbaya san.
Hawatakubali hawa majangili wa mali za ummaChama mbadala kipo acheni sanduku la Kura liwe jury na haki itendeke kwenye UCHAGUZI mtakiona. Tumeichoka CCM.
Yaani wahuni waliofeli elimu ya sekondari ambao wengi ni viongozi wa chadema ndio wachukue nchi?wakati mwingine tuwe tunakuwa serious aiseeAruhusu uchaguzi huru na wa haki aone moto wake, CCM inategemea wizi wa kura na mabavu ya vyombo vya dola hasa polisi na TISS.
Itoshe tu kusema huna akili na wahuni ni wale waliokaliana uchi wakakuleta duniani.Yaani wahuni waliofeli elimu ya sekondari ambao wengi ni viongozi wa chadema ndio wachukue nchi?wakati mwingine tuwe tunakuwa serious aisee
Tulitee vyeti vyao vya elimu ya Sekondari kama vitathibitisha kuwa nasema uwongo kuwa chadema inaoongozwa na waliofeli elimu ya sekondari nitaondoa msimamo wangu .Naomba tuliteen hapa cheti cha elimu ya sekondari,Sugu,Lema ,Wengr na Mzee Mbowe.Itoshe tu kusema huna akili na wahuni ni wale waliokaliana uchi wakakuleta duniani.
Msukule wa bibi kizee Samia aka kizmkazi kwenye ubora wake.Msukule wa mzee mbowe kwenye ubora wake
Labda Kwa mazezeta ya ccm.Yupo asilimia 💯
Mawazo mgando haya na onaonesha namna gani walivyo na uchu hata wa kudhuru ili wabaki tu madarakanRais Samia aliyasema hayo akifunga Kikao Maalum cha Baraza Kuu la Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) jana Septemba 28, 2024.
"… mabadiliko yote yanayotokea ni katika kukiimarisha chama chetu tukitambua kwamba bado hatujapata mbadala wa chama cha kuongoza nchi hii, bado hatujakipata.
"Kwahiyo ni lazima tuimarike na tusimame imara kuiendesha Tanzania ambayo tumeifungua kwa fursa nyingi sana, lazima tuimarike.
"Lakini vilevile mmeshuhudia mabadiliko ndani ya chama chetu ya vitendea kazi, tumeweza kukipatia chama vitendea kazi na hakuna sababu kwanini tushuke chini ya asilimia 80 katika chaguzi zinazoendelea, kwasababu kawa, wilaya, mkoa, na taifa kote kuna vitendea kazi na ndio maana mmesema mmeweza kuzunguka maeneo yote hayo kwasababu mmewezeshwa kufanya hivyo."
Wafuasi wa kizmkaz 2025 ndio mtaelewa kuwa bara sio kizmkaz.It's, possible kama cdm vinaongozwa na MTU mmoja tu miaka yote na mnatumia uongo zaid kuhalalisha mambo yenu. Mfano pale mwembe Yanga mlisema Lowasa ni fisadi, lakin akawa mgombea urais wa cdm mwaka 2015 . Ina maana cdm wanatumia uongo mwingi kwenye sasa. Samia yupo sawa.
Kiukweli Karatu mliliheshimisha kabila letu la Wairaqw,hata misimamo yenu imekaa poa sana,hongereni.Pongezi pia kwa Dkt. W.P.SlaaHutanielewa wala hutaelewa km hujawahi kuongozwa na halmashauri inayoongozwa na upinzani.mwaka 1995 tulichagua mbunge wa chadema karatu dr slaa akafanya mambo makubwa yakiwemo maji kila sehemu awali chini ya ccm hatukuwah kuwa na maji na michango kila mwaka wanakula ya maji lakin chini ya chadema tukapata maji bila mchango wowote.mwaka 2000 halmashauri ikawa chn ya cdm ikafuta kodi ya minyanyasho(kod ya kichwa) wakaanza kujenga kila kata secondari na kufuta ada ya shuleni na kusomesha watoto wasiojiweza.wakati serikal inatangaza sec za kata sis tayar tuna secondari kila kijiji bila ada.barabara kukarabatiwa kwa mda zahanati kila kijiji hayo yote yalifanyka chini ya chadema,ccm hatukuona kwa CHADEMA YALIWEZEKANA.NI MENG MAZURI YA CHADEMA IKIWEMO UHURU WA KUWAJIBISHA VIONGOZ WAZEMBE na tulishamwajibisha mkuu wa wilaya wakati huo ABDALAH KIHATU akaondolewa na bosi wake MKAPA tulimtoa kwa maandamano.MAGUFULI alichukua karatu kwa nguvu uchaguz uliopita cha ajabu ule UZEMBE UWIZI UFISADI UMERUDI KWA KASI.
Huo upuuzi jadili na wapumbavu wenzako ,unataka nikuwekee vyeti vyao kwani wewe ni TCU? Hizi hoja zako tu unaonyesha wewe ndiye una elimu duni kwani siku zote kazi unayojua ni kumtukana Mchaga mwenzako Mbowe sijui ndiye alikutoa usichana wako kisha akakupiga kibuti.Tulitee vyeti vyao vya elimu ya Sekondari kama vitathibitisha kuwa nasema uwongo kuwa chadema inaoongozwa na waliofeli elimu ya sekondari nitaondoa msimamo wangu .Naomba tuliteen hapa cheti cha elimu ya sekondari,Sugu,Lema ,Wengr na Mzee Mbowe.
Ni aibu kijana mdogo kupelekwa puta na SACCOSMsukule wa bibi kizee Samia aka kizmkazi kwenye ubora wake.
Kwa kuwa mzee Mbowe ni mchagga mwenzangu nianche kusema ukweli ?tuliteeni cheti chake cha elimu ya Sekondari acheni longo longo aisee.Huo upuuzi jadili na wapumbavu wenzako ,unataka nikuwekee vyeti vyao kwani wewe ni TCU? Hizi hoja zako tu unaonyesha wewe ndiye una elimu duni kwani siku zote kazi unayojua ni kumtukana Mchaga mwenzako Mbowe sijui ndiye alikutoa usichana wako kisha akakupiga kibuti.
Inawezekana vipi chama cha kikanda kuwa sehemu ya serikali?
Kwa hili Mh. Rais samia yupo sahihi kabisa na ninaungana naye kwa 100%, mbadala wa CCM bado nchi hii haujapatikana kabisa na hakuna hata dalili za kupatikana hata kwa miaka 10 mbele, hili halina ubishi.Rais Samia aliyasema hayo akifunga Kikao Maalum cha Baraza Kuu la Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) jana Septemba 28, 2024.
"… mabadiliko yote yanayotokea ni katika kukiimarisha chama chetu tukitambua kwamba bado hatujapata mbadala wa chama cha kuongoza nchi hii, bado hatujakipata.
"Kwahiyo ni lazima tuimarike na tusimame imara kuiendesha Tanzania ambayo tumeifungua kwa fursa nyingi sana, lazima tuimarike.
"Lakini vilevile mmeshuhudia mabadiliko ndani ya chama chetu ya vitendea kazi, tumeweza kukipatia chama vitendea kazi na hakuna sababu kwanini tushuke chini ya asilimia 80 katika chaguzi zinazoendelea, kwasababu kawa, wilaya, mkoa, na taifa kote kuna vitendea kazi na ndio maana mmesema mmeweza kuzunguka maeneo yote hayo kwasababu mmewezeshwa kufanya hivyo."
Huo ni ubaguzi... Nyerere alianzia ukanda wa PWANI na baadae akasambaa nchi nzima.Inawezekana vipi chama cha kikanda kuwa sehemu ya serikali?
🤔🤔🤔🤔Kwa chama kisicho na "dhamira" kama CHADEMA. Mwenyekiti wa CCM yupo sahihi.