Rais Samia: Bado ninaisikia sauti ya Hayati Magufuli akiniambia kuhusu miradi na Dodoma kuwa Makao Makuu

Mama anashida sana kwa kweli hiyo ni kauli ya kinafiki sana .mbona nape na makamba kila siku wanamtukana halafu ndo kwanza anawakingia kifua
 
Ndiye huyu huyu, anajifanya anacheza na akili zetu
 
Mbona thread za magufuli mmezifukuws nyingi hivi what happens guys?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…