Rais Samia: Bado ninaisikia sauti ya Hayati Magufuli akiniambia kuhusu miradi na Dodoma kuwa Makao Makuu

Good
 
Hua nina wasiwasi na ID ya yule bibi kizee (Faiza/Faidha Fox) wa humu kwamba huenda ni ya Samia Suluhu Hasani! Ni mtazamo wangu tu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Ndiyo yeye yule, kuna siku nilimbananisha na swali tata hakujibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

FaizaFoxy ndiye Samia mwenyewe huoni siku hizi amepunguza kuingia jamvini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1][emoji1][emoji1]
 
I hope mama ataisikia Tena Sauti ya JPM ikimtaka amalize mradi wa Rufiji tupate umeme wa kueleweka,maana tunachopitia Sasa kwenye suala la umeme Ni kitu cheusi Sana!
Ule mradi unaendelea kwa kasi sana
 
Dodoma ya leo si Zamani,kweli Hali ya hewa sio nzuri Ila tunaweza kurekebisha Kama ambavyo imepandwa miti kwa Sasa,nadhani wakiongea miti mingine patakuwa poa hakuna linaloshindikana kwenye juhudi.Kuhusu barabara watatanua usijali
 
Kwa hiyo Master plan aliandaa Hayati Magufuli????
 
Wewe huna kitu,hujui unasema nini,na watu sampuli hawakosekani.Mbona niko hapo hata kabla hujazaliwa wewe dogo.Kwa kuwa akili ni mali tugeanzia na chekechea.Kwanza una stress pima BP.so sad.
 
Wewe huna kitu,hujui unasema nini,na watu sampuli hawakosekani.Mbona niko hapo hata kabla hujazaliwa wewe dogo.Kwa kuwa akili ni mali tugeanzia na chekechea.Kwanza una stress pima BP.so sad.
Jikite kwenye hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…