digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Pamoja Sana mama yetu. Piga kazi
Kazi iendelee
Kazi iendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sina picha mkuu lakini nitajitahidi kukuelekeza kwa ufahamu wangu ulivyo juu ya hii barabara, hii barabara itachepuka pale mtumba(mji wa kiselikali).Mngetuwekea na kapicha/Mchoro ili tuone jinsi hizo Ringroads zitakazofanya kazi,maana kwa sisi wengine wenye uelewa mdogo bado mnatuchanganya tu...
Rubbish,usisababishe nikapigwa ban ngoja nitulie.Anaanza kuona bila ya Magu (R.I.P) hawezi toboa, na bado ndo mwanzo tu!
Kama neno lako la mwisho lingekuwa na kiulizo, ningejibu NDIYO.Tunaweza kubadilisha mwngi kuifanya Dodoma inawiri lakini itaendelea kuwa mbaya kwa sababu ubaya wa Dodoma ni wa asili. Hali ya hewa ni mbaya, hatuwezi kubadilisha. Ardhi yake ni mbaya, tunaweza kurekebisha kiasi lakini hatuwezi kubadilisha...
Wanaishi na wanapambana na hali zao huko waliko.Magufuli na Nyerere bado wanaishi!
Magufuli ni Musa wa Zama hizi!
Magufuli ni Mtume na Nabii.
Kama siyo yeye CCM ingekufa 2015!
Rais Samia leo akiwa anaweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa barabara za pete(ring road) jijini Dodoma amesema bado sauti ya mtangulizi wake hayati Magufuli anaisikia ikimtaka akamilishe miradi yote aliyoiacha....
Mama anaendelea kutekeleza mipango ya hayati Magufuli ya kulifanya jiji la dodoma kuwa na miundombinu bora kabisa.Sawa
Hata shetani ana washabiki.Magufuli ni Musa wa Zama hizi!
Magufuli ni Mtume na Nabii.
Kama siyo yeye CCM ingekufa 2015!
Ndio hio sauti ilimuelekeza amuweke ndani Mbowe.
Rubbish,usisababishe nikapigwa ban ngoja nitulie.
Mfano?pia kwa kuanzisha ya kwake.
uliishi dodoma ipiii mzeee , dodoma imepangika lbd kama hujaishi dodoma.Tunaweza kubadilisha mwngi kuifanya Dodoma inawiri lakini itaendelea kuwa mbaya kwa sababu ubaya wa Dodoma ni wa asili. Hali ya hewa ni mbaya, hatuwezi kubadilisha. Ardhi yake ni mbaya, tunaweza kurekebisha kiasi lakini hatuwezi kubadilisha...
CCM Isha kufa kitamboMagufuli ni Musa wa Zama hizi!
Magufuli ni Mtume na Nabii.
Kama siyo yeye CCM ingekufa 2015!
au ni wewePambana mama, najua unasoma comments huku au pengine una id yako humu!