Rais Samia, bado RC Chalamila na RC Hapi

Rais Samia, bado RC Chalamila na RC Hapi

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Katika awamu ya tano kuna vijana viongozi waliotia fora kutumia madaraka vibaya.

Mama Samia amewakonga mioyo watanzania kwa kumuondoa Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai, aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji.

Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha wala karama ya uongozi, na RC wa Iringa, Hapi aliyewahi kuwadhalilisha wazee wa chama, kina Makamba na Kinana.

Hawa walikuwa vile vile wanatumika, lazima nao waende zao.
 
Katika Awamu ya tano kuna vujana viongozi wa liotia fora kutumia madaraka vibaya.

Mama Samia amewakonga mioyo Watanzania kwa kumuondoa zOle Sabaya , Mkuu wa Wilaya ya Hai , aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji.
Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha wala karama ya uongozi, na RC wa Iringa, Hapi aliyewahi kuwadhalilisha wazee wa Chama, kina Makama na Kinana.
Hawa walikuwa vile vile wanatumika, lazima nao waende zao.

Irudi kama zamani ,vyeo hivyo wapewe 40+ maana hawa vijana wa 20s-mid 30s wana mihemuko sana.
 
Katika Awamu ya tano kuna vujana viongozi wa liotia fora kutumia madaraka vibaya.

Mama Samia amewakonga mioyo Watanzania kwa kumuondoa zOle Sabaya , Mkuu wa Wilaya ya Hai , aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji.
Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha wala karama ya uongozi, na RC wa Iringa, Hapi aliyewahi kuwadhalilisha wazee wa Chama, kina Makama na Kinana.
Hawa walikuwa vile vile wanatumika, lazima nao waende zao.
Sasa Chalamila ana tatizo gani? Mbona anachapa kazi Kwa weledi kabisa? Weka hapa tuhuma ulizonazo dhidi ya Chalamila.
 
Uyu chalamila Kwanza mshamba Sanaa anatutesea ndugu zetu mbeya tulikua Nagari ndogo za abilia tunaleta kubwa yeye anatuletea bajaji?

Au nayeye kawekeza kwenye bajaji alafu anajitapa ataleta magari ya jeshi kipindi chanyuma alitutolea nduguzetu pale kabwe alipo ongea nawafanyabiashara mama, dada waliteseka Sanaa uyu arud kwao iringa akalime nyanya avune machungwa.
 
Kwa kweli watanzania tupunguze ushabiki. Unalielewa vizuri tukio unalilizungumzia?
Vijana wa kijiji cha Ngole waliharibu miundombinu ya maji iliyokuwa inafadhiliwa na Wamarekani katika kijiji cha Mashese.

Ulitaka mkuu wa mkoa akiwa Kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa afanye nini ili kudhibiti ujinga na upambavu ule? Je huon Kama kauli na amri Ile vilimaliza mgogoro ule ambao kimsingi ungeweza kuleta maafa makubwa Kama watu wa Mashese wangeamua kujibu Mapigo?
 
Uyu chalamila Kwanza mshamba Sanaa anatutesea ndugu zetu mbeya tulikua Nagari ndogo za abilia tunaleta kubwa yeye anatuletea bajaji? Au nayeye kawekeza kwenye bajaji alafu anajitapa ataleta magari ya jeshi kipindi chanyuma alitutolea nduguzetu pale kabwe alipo ongea nawafanyabiashara mama,dada waliteseka Sanaa uyu arud kwao iringa akalime nyanya avune machungwa
Chalamila ndiye aliyeleta bajaji Mbeya mjini? Hizi ni chuki za kijinga na wivu tu. Mbeya mjini bajaji zimefurika kabla ya ujio wa Chalamila. Pia hata hizo bajaji zipo Kwa ajili ya watanzania hasa tabaka la chini. Hizo gari kubwa unazosema mbona hamzipeleki Isanga?
 
Huyo alizuiwa tu kukiweka kijiji chote ndani, na alishaanza.
Kwa kweli watanzania tupunguze ushabiki. Unalielewa vizuri tukio unalilizungumzia?
Vijana wa kijiji cha Ngole waliharibu miundombinu ya maji iliyokuwa inafadhiliwa na Wamarekani katika kijiji cha Mashese.

Ulitaka mkuu wa mkoa akiwa kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa afanye nini ili kudhibiti ujinga na upambavu ule? Je huon Kama kauli na amri Ile vilimaliza mgogoro ule ambao kimsingi ungeweza kuleta maafa makubwa Kama watu wa Mashese wangeamua kujibu Mapigo?
 
Kwa kweli watanzania tupunguze ushabiki. Unalielewa vizuri tukio unalilizungumzia?
Vijana wa kijiji cha Ngole waliharibu miundombinu ya maji iliyokuwa inafadhiliwa na Wamarekani katika kijiji cha Mashese.
Ulitaka mkuu wa mkoa akiwa Kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa afanye nini ili kudhibiti ujinga na upambavu ule? Je huon Kama kauli na amri Ile vilimaliza mgogoro ule ambao kimsingi ungeweza kuleta maafa makubwa Kama watu wa Mashese wangeamua kujibu Mapigo?
Mkuu ni wewe mwenyewe Chalamila au?
Anza kutia maji unyolewe vizuri.
 
Huyo alizuiwa tu kukiweka kijiji chote ndani, na alishaanza.

Mkuu ni wewe mwenyewe Chalamila au?
Anza kutia maji unyolewe vizuri.
Sikiliza,. Mimi sio Chalamila na wala sina maslahi ya moja Kwa moja kutoka kwake. Lakini penye ukweli lazima niseme. Tuhuma nyingi Kwa Chalamila kimsingi si tuhuma Bali majungu, ufuata mkumbo na ulimbukeni tulionao watanzania wengi kuzungumzia Mambo ambayo hatuyajui vizuri.
 
Back
Top Bottom