Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Mama aachwe afanye kazi na neema zitapatikana kwa kila mmoja wetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badala ya kuweka watu serious unaona cheo cha mkuu wa mkoa ni tantalila!?Hata mie Chalamila sioni kama ana tatizo,yule kelele tu tantalila nyingi ila sidhani kama ana shida
Jidu matarajio yamefikiwa kwa 50% ndani ya wiki tatu!! Hongera kwa maono, nahisi hii 50% iliyobaki itakuwa funzo kwa wengineo piaKatika awamu ya tano kuna vijana viongozi waliotia fora kutumia madaraka vibaya.
Mama Samia amewakonga mioyo watanzania kwa kumuondoa Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai, aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji.
Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha wala karama ya uongozi, na RC wa Iringa, Hapi aliyewahi kuwadhalilisha wazee wa chama, kina Makamba na Kinana.
Hawa walikuwa vile vile wanatumika, lazima nao waende zao.
Kwa hili lililotokea una maoni gani? au unadhani ni figisi tu?Sikiliza,. Mimi sio Chalamila na wala sina maslahi ya moja Kwa moja kutoka kwake. Lakini penye ukweli lazima niseme. Tuhuma nyingi Kwa Chalamila kimsingi si tuhuma Bali majungu, ufuata mkumbo na ulimbukeni tulionao watanzania wengi kuzungumzia Mambo ambayo hatuyajui vizuri.
Inaitwa Win Win SituationJidu matarajio yamefikiwa kwa 50% ndani ya wiki tatu!! Hongera kwa maono, nahisi hii 50% iliyobaki itakuwa funzo kwa wengineo pia
Njoo umtetee tena!! Tuliwaambia hapa hana busara za uongozi mkatuita tuna wivu.Sikiliza,. Mimi sio Chalamila na wala sina maslahi ya moja Kwa moja kutoka kwake. Lakini penye ukweli lazima niseme. Tuhuma nyingi Kwa Chalamila kimsingi si tuhuma Bali majungu, ufuata mkumbo na ulimbukeni tulionao watanzania wengi kuzungumzia Mambo ambayo hatuyajui vizuri.
For sure !!Vilaza chadema wamepuuzwa na mama
Ulitetea kwa gazeti refu kweli cjui leo utajificha wapi. Emb:icile!!Tofautisha vichekesho vya kuchombeza na hoja za msingi,acha chuki zako za kijinga.Kama ni kukosa maadili hakuna kati yao ambae alimzidi JPM kwa kuropoka hovyo,kutukana watu,kudhalilisha watu,wanawake,walifikwa na maafa na kuongopa hadharani.Hayo yaliendana na mtu aliyekuwa ofisi kuu.
So far hakuna hoja serious ya kimaadili,kuvunja kiapo chake au kushindwa kusimamia maendeleo,kwa hiyo tafuta excuses zingine.Mbeya kuwa na RC dizaini ya Makala fisadi na asiyeweza kuwajibika ilikuwa hasara ila Chalamila kaiweza vizuri,watu jeuri wapelekee mtu jeuri.
Nilichomkubali Chalamila ni kudhibiti ubadhirifu hapo mkoani na hacheki na nyani
Siasa za nchi yetu zimezalisha watu wajinga wengi sana sasa hivi ujinga unatetewa kwa nguvu zote kikubwa uwe umevaa rangi ya chama tu.Ulitetea kwa gazeti refu kweli cjui leo utajificha wapi. Emb:icile!!