Rais Samia, bado RC Chalamila na RC Hapi

Jidu matarajio yamefikiwa kwa 50% ndani ya wiki tatu!! Hongera kwa maono, nahisi hii 50% iliyobaki itakuwa funzo kwa wengineo pia
 
Kwa hili lililotokea una maoni gani? au unadhani ni figisi tu?
 
Hatimaye Kimeeleweka Sasa
Ole Sabaya
Albert
......
.......
........
"""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
Teabag Inatoa Rangi Tu Mpaka Kikombe Kifurike πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€
 
Njoo umtetee tena!! Tuliwaambia hapa hana busara za uongozi mkatuita tuna wivu.
 
Hivi Happy ndio anaitisha mkutano saa 4 asubuhi ahalafu anakuja saa sita? Hafai kuwa kiongozi wa umma kama hiyo ndio tabia yake
 
Ulitetea kwa gazeti refu kweli cjui leo utajificha wapi. Emb:icile!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…