Rais Samia: Bwawa la Kidunda ni suluhisho la kudumu la tatizo la maji Dar

Rais Samia: Bwawa la Kidunda ni suluhisho la kudumu la tatizo la maji Dar

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza chanzo na jinsi ya kukabiliana na mgao wa maji jijini Dar es Salaam.

Rais anaeleza chanzo cha upungufu wa maji Dar ni kupungua kwa kina cha maji katika Mto Ruvu kilichosababishwa na athari za tabia nchi.

Mheshimiwa Rais pia ameeleza hatua zilizochukuliwa na serikali kukabiliana na hali hiyo.

Serikali iliingiza maji lita milioni Sabini (70) jijini Dar es Salaam kutoka Kigamboni. Pia serikali imeanza ujenzi wa Bwawa la Kidunda ambalo ndio suluhisho la kudumu la tatizo la maji jijini Dar es Salaam.

Rais Samia ameomba Tupande miti na Tutunze mazingira yetu ili hali irudi kama zamani
 
Hilo Bwawa wanachimba visima vya kulijaza au wanategemea maji ya mvua kulijaza? Kama ni maji ya mvua hilo sio suluhisho la kudumu!!
 
Rais Samia ameomba Tupande miti na Tutunze mazingira yetu ili hali irudi kama zamani
Tutapandaje miti kabla hatujawa na sheria kali ya kuilinda na kuinusuru michache iliyobaki ...sidhani kama Rais anajua kinachoendelea huko kwenye mapori ya asili
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza chanzo na jinsi ya kukabiliana na mgao wa maji jijini Dar es Salaam.

Rais anaeleza chanzo cha upungufu wa maji Dar ni kupungua kwa kina cha maji katika Mto Ruvu kilichosababishwa na athari za tabia nchi.

Mheshimiwa Rais pia ameeleza hatua zilizochukuliwa na serikali kukabiliana na hali hiyo.

Serikali iliingiza maji lita milioni Sabini (70) jijini Dar es Salaam kutoka Kigamboni. Pia serikali imeanza ujenzi wa Bwawa la Kidunda ambalo ndio suluhisho la kudumu la tatizo la maji jijini Dar es Salaam.

Rais Samia ameomba Tupande miti na Tutunze mazingira yetu ili hali irudi kama zamani
View attachment 2427243
FiZzfxfX0AY6AJV.jpg
 
Hilo Bwawa wanachimba visima vya kulijaza au wanategemea maji ya mvua kulijaza? Kama ni maji ya mvua hilo sio suluhisho la kudumu!!
Rais Samia Suluhu ameleta suluhusho la kuduma kuanzia sasa shida ya maji tumeiaga kabisa pia mgao wa maji sasa umekwisha
 
Tutapandaje miti kabla hatujawa na sheria kali ya kuilinda na kuinusuru michache iliyobaki ...sidhani kama Rais anajua kinachoendelea huko kwenye mapori ya asili
Project yake ya upandaji miti Dodoma-makutupora-Mzakwe kipindi akiwa makamu anajua maendeleo yake? Hakuna mti hata mmoja uliobakia kati miti alfu kadhaa iliyopandwa.

Naungana na wewe kuhusu sheria za ulindaji wa miti kutiliwa mkazo.
 
Project yake ya upandaji miti Dodoma-makutupora-Mzakwe kipindi akiwa makamu anajua maendeleo yake? Hakuna mti hata mmoja uliobakia kati miti alfu kadhaa iliyopandwa.

Naungana na wewe kuhusu sheria za ulindaji wa miti kutiliwa mkazo.
Asante mkuu
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza chanzo na jinsi ya kukabiliana na mgao wa maji jijini Dar es Salaam.

Rais anaeleza chanzo cha upungufu wa maji Dar ni kupungua kwa kina cha maji katika Mto Ruvu kilichosababishwa na athari za tabia nchi.

Mheshimiwa Rais pia ameeleza hatua zilizochukuliwa na serikali kukabiliana na hali hiyo.

Serikali iliingiza maji lita milioni Sabini (70) jijini Dar es Salaam kutoka Kigamboni. Pia serikali imeanza ujenzi wa Bwawa la Kidunda ambalo ndio suluhisho la kudumu la tatizo la maji jijini Dar es Salaam.

Rais Samia ameomba Tupande miti na Tutunze mazingira yetu ili hali irudi kama zamani
View attachment 2427243
Hizo story tangu uhuru ni drama tu

USSR
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza chanzo na jinsi ya kukabiliana na mgao wa maji jijini Dar es Salaam.

Rais anaeleza chanzo cha upungufu wa maji Dar ni kupungua kwa kina cha maji katika Mto Ruvu kilichosababishwa na athari za tabia nchi.

Mheshimiwa Rais pia ameeleza hatua zilizochukuliwa na serikali kukabiliana na hali hiyo.

Serikali iliingiza maji lita milioni Sabini (70) jijini Dar es Salaam kutoka Kigamboni. Pia serikali imeanza ujenzi wa Bwawa la Kidunda ambalo ndio suluhisho la kudumu la tatizo la maji jijini Dar es Salaam.

Rais Samia ameomba Tupande miti na Tutunze mazingira yetu ili hali irudi kama zamani
View attachment 2427243
kwanini wasichimbe visima kila mkoa, haya masuala ya kusema tunakosa maji kwakuwa mabwawa hayana maji ni aibu
 
Back
Top Bottom