Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Acha kelele! Kwani mitandao si ipo kwaajili ya kila mmoja?Huyu mama mitandao naona inamdemsha sana!
Mara kadhaa sasa anaitaja.
Si ajabu yupo humu…
Mitandao ndo watu sasa.Huyu mama mitandao naona inamdemsha sana!
Mara kadhaa sasa anaitaja.
Si ajabu yupo humu…
Sijasema asiperuzi!Acha kelele! Kwani mitandao si ipo kwaajili ya kila mmoja?
Rais nae anayo haki ya kuperuzi mitandaoni apate maoni mbalimbali ya wananchi wake
Wambea wa mitandaoni kama wewe bwana Musiba ndo majizi makuu, mkigombana huko lumumba ulivyo huna koromeo jitu zima hovyo unakuja kumwaga mitandaoni, hopeless kabisa ww“Leo nimesoma mtandaoni, Dar es salaam kuna Watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu, naomba nitoe meseji wasijaribu kina cha maji, IGP upo hapa, mitandaoni wanamtaja Afande mmoja alikomesha ujambazi, wanasema ‘Mama turudishie’, IGP kaliangalie hilo vizuri”———Rais Samia Suluhu wakati akizungumza na Wazee Dar es salaam leo
Kwani kuwemo haruhusiwi nyie VIP?Huyu mama mitandao naona inamdemsha sana!
Mara kadhaa sasa anaitaja.
Si ajabu yupo humu…
Mwendazake alikuwa anatumia ID ya Magonjwa MtambukaKwani kuwemo haruhusiwi nyie VIP?
Magufuli si alikuwa anakesha humu?
Kwa hiyo?Mwendazake alikuwa anatumia ID ya Magonjwa Mtambuka
Hakuna aliyesema mama yenu kipenzi haruhusiwi….mbona mko defensive namna hiyo?Kwani kuwemo haruhusiwi nyie VIP?
Magufuli si alikuwa anakesha humu?
Jiwe alikuwa anasomewa na Bashite alikuwa hajui kutumia hata kuandika kugugo ndio ilikuwa hoiKwani kuwemo haruhusiwi nyie VIP?
Magufuli si alikuwa anakesha humu?
Nime miss Faiza Fox jamani, she was bright na mwenye misimamo kamili...Iron Lady...Bimkubwa yupo humu kwa kupitia ID ya faiza fox... trust me.