Rais Samia: Dar kuna Watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu

Rais Samia: Dar kuna Watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu

Swala la usalama wa raia na mali zao ni swala la National security ambalo kiongozi yeyote makini angekuwa ana taarifa sahihi na ameshalifanyia kazi sasa kama taarifa tu anazipata mtandaoni... haya anazungumzia askari ambae hata yeye hamjui ? duh tuendelee kula Mtori nyama zipo chini ila waimba mapambio hamuwezi kuona udhaifu mkubwa uliopo kwa sasa kwa vile nyimbo zinazopigwa na DJ mnazielewa .. badala ya kumwambia Dereva aangalie mbele aache kuwaangalia nyinyi mnamsifia kwa kuweza kuendesha gari huku hatazami barabara soon mtajikuta mpo mtaroni huku watu wamevunjika na wengine kuumia vibaya .
Hapo kwa afande bila shaka anamjua, lkn hakuamua kumtaja labda kwa ajili ya usalama wake. Soma vizur hapo juu utaelewa.
 
Ila Mama yupo vizuri taarifa zake azivuji mpaka jamaa wa Twitter amekosa la kutudanganya siku izi
 
Ila Mama yupo vizuri taarifa zake azivuji mpaka jamaa wa Twitter amekosa la kutudanganya siku izi
Ni hivi. Ngoja nikuhabarishe usiyo yajua kuhusu kuvuja kwa tarifa.

Mko safari moja
Mnaamua kuchimbua muhogo ili mle kwa pamoja lakini wewe unajikatia kipande kikubwa na kula peke yako. Wenzako wanavumilia safari inaendelea.

Mnafika sehemu ya kuoga kwenye dimbwi fulani wewe badala ya kuoga kistaarabu unaoga na kisha kujisaidia humo humo wenzako wanakuvumilia.

Mnakaribika katikati ya safari kwakuwa wewe ndio unaijua njia basi umawaacha wenzako njia panda na kuwatoroka

Ikifikia mahali hapo wenzako lazima wakugeuke na kuanza kwenda kinyume na kila unachofanya.

Hayo yalimkuta magufuli. Waliokuwa wanavujisha na wa karibu yake aliokata mirija yao.. Au qemgine sio kukata mirija waliamua tu kuliponya taifa kwa namna yao ya uzalendo baada ya kuona ngosha anaenda kinyume na wenye nchi.
 
Mama pia auteme Mwenge ni nuksi tu nakusambaza Ukimwi

Gharama zisizokuwa na msingi
 
Back
Top Bottom