babu bulicheka
JF-Expert Member
- Mar 26, 2021
- 822
- 1,048
Kwa sentesi hiyo nimehakikisha kweli wewe mi mlabilaHakuna aliyesema mama yenu kipenzi haruhusiwi….mbona mko defensive namna hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sentesi hiyo nimehakikisha kweli wewe mi mlabilaHakuna aliyesema mama yenu kipenzi haruhusiwi….mbona mko defensive namna hiyo?
Hapo kwa afande bila shaka anamjua, lkn hakuamua kumtaja labda kwa ajili ya usalama wake. Soma vizur hapo juu utaelewa.Swala la usalama wa raia na mali zao ni swala la National security ambalo kiongozi yeyote makini angekuwa ana taarifa sahihi na ameshalifanyia kazi sasa kama taarifa tu anazipata mtandaoni... haya anazungumzia askari ambae hata yeye hamjui ? duh tuendelee kula Mtori nyama zipo chini ila waimba mapambio hamuwezi kuona udhaifu mkubwa uliopo kwa sasa kwa vile nyimbo zinazopigwa na DJ mnazielewa .. badala ya kumwambia Dereva aangalie mbele aache kuwaangalia nyinyi mnamsifia kwa kuweza kuendesha gari huku hatazami barabara soon mtajikuta mpo mtaroni huku watu wamevunjika na wengine kuumia vibaya .
Kakurithisha Joseph kumbeKwa hiyo?
Kwa sasa nafikiri ana majukumu makubwa ya kitaifa, ndio maana haingii ingii hovyo kama zaman.Nime miss Faiza Fox jamani, she was bright na mwenye misimamo kamili...Iron Lady...
🤣🤣🤣Kwa sentesi hiyo nimehakikisha kweli wewe mi mlabila
Umeshinda Msukusi Mnyatuzu🤣🤣🤣
Kwa ulichokiandika hapo, mimi nimethibitisha wewe ni zuzu na ni nyumbu!
“mi mlabila”.
What F is that? 🤣🤣🤣🤣
Nyumbu GTFOH.
Sawa nyumbuUmeshinda Msukusi Mnyatuzu
Ila ushairi wa Paschal Mayalla utamkorogaMheshimiwa ashauriwe ajiunge na huku jamiiforums naahidi hatojutia muda wake online
Hv ni afande yupi huyo ,Tibaigana au laHapo kwa afande bila shaka anamjua, lkn hakuamua kumtaja labda kwa ajili ya usalama wake. Soma vizur hapo juu utaelewa.
BBC (Born Before Computer)Jiwe alikuwa anasomewa na Bashite alikuwa hajui kutumia hata kuandika kugugo ndio ilikuwa hoi
Nina uhakika % mia moja yupo jamii ForumsHuyu mama mitandao naona inamdemsha sana!
Mara kadhaa sasa anaitaja.
Si ajabu yupo humu…
Ni hivi. Ngoja nikuhabarishe usiyo yajua kuhusu kuvuja kwa tarifa.Ila Mama yupo vizuri taarifa zake azivuji mpaka jamaa wa Twitter amekosa la kutudanganya siku izi
Naona unabrowse kutokea mbinguniKwa hiyo?
Ooh no it can't be.Bimkubwa yupo humu kwa kupitia ID ya faiza fox... trust me.
Hapana nafikiri sio Tibaigana mkuuHv ni afande yupi huyo ,Tibaigana au la