eliasmisinzo
JF-Expert Member
- Aug 13, 2021
- 1,259
- 1,321
Kumbe kubambika kesi na kuteka ni demokrasi!Kwa maana hiyo hata UDIKTETA ni 'DEMOKRASIA'?
Anaelewa anachikizungumzia?
Kama kweli rais kayasema haya, anatofauti gani na hawa watu waliomo humu JF kama akina Johnthebabtist, Magonjwa, Etwege, na wengineo wa aina hiyo?
Kumbe kuteka na kubambika kesi ni mila na demokrasi!Kila nchi ina demokrasia yake....
Demokrasia huendana na MILA NA TARATIBU ZA WATU....
Kwa kuwa demokrasia ni suala huria ndio waarabu na waafrika tuwe na sheria za ndoa za jinsia moja?!!!
Kwani nayo ndio demokrasia hiyo ya nchi za MAGHARIBI.....
Shikilia hapo hapo mama.
Usilegeze kamba.
Ya woreKwa faida ya nani?
Wala siyo MAJIHa ha ha!
Hii quote of the month!
DEMOKRASIA SI COCA COLA!
Hakuna haki isiyozingatia WAJIBU NA UTARATIBU.....
Unatanguliza hisia eeee?!!!Kumbe kuteka na kubambika kesi ni mila na demokrasi!
Mama Samia sio Mungu, kwamba eti tutetemeke kisa yeye, MUNGU tunayemtumainia atatupigania.CCM kwa kweli kazi wanayo safari hii ......!!
Hiyo ni miezi 6 .... Baada ya mwaka sijui itakuwaje!
Kwani amejiita yeye MUNGU?!!Mama Samia sio Mungu, kwamba eti tutetemeke kisa yeye, MUNGU tunayemtumainia atatupigania.
Na hatari kubwa aliyonayo ni kuishia kuonekana kilaza. Nyerere alikuwa smart kichwani. Alijua jinsi ya “kuzungusha” maneno kisomi na kuacha watu wanachambua hadi kuchanganyikiwa.Asiige misemo ya Nyerere. Maana huyo pia anamchango mkubwa wa kutufikisha kwenye hii kadhia tuliyopo. Kwasababu ya fikra na imani hizo, sasahivi wananchi wanapambana kujikomboa mara ya pili.
Mkuu salute. Unaitendea haki zamu yako ya ulinzi wa kasri. Bia yetu, kawe alumni na msemaji ukweli hawakufikia viwango kabisa.Watokee wapi?!!
Kauli ya mwenyekiti wetu ndiyo ya mwisho....
Huu ni utaratibu wa CCM.....si lazima ufanane na MWINGINE popote pale.....
#SiempreCCM
😲🤣🤣🤣Mkuu umenichekesha mno ha ha haMkuu salute. Unaitendea haki zamu yako ya ulinzi wa kasri. Bia yetu, kawe alumni na msemaji ukweli hawakufikia viwango kabisa.
Sikukutaja tu kwenye listi hiyo ya wapuuzi, lakini wewe pia ni hao hao wapuuzi, ushahidi ukiwa hao uliyoandika hapo juu na michango karibu yote unayoandika humu JF.Kila nchi ina demokrasia yake....
Demokrasia huendana na MILA NA TARATIBU ZA WATU....
Kwa kuwa demokrasia ni suala huria ndio waarabu na waafrika tuwe na sheria za ndoa za jinsia moja?!!!
Kwani nayo ndio demokrasia hiyo ya nchi za MAGHARIBI.....
Akili yako ilivyo finyu unajisikia umejibu hoja kwa jibu zito sana.Kwani demokrasia haianzii ngazi ya familia na ndani ya vyama?!!
Inaelekea 'Maza Mizinguo' anaamini hivyo.Kumbe kubambika kesi na kuteka ni demokrasi!