Rais Samia: Dereva aliyeamua kuliingiza lorry kwenye korongo kwa kukwepa utelezi

Sawa ngiri maji Dollar ikifika 5000 ndo utajua anaishi mbele ya maono au amekalia maono ,
 
Uv ccm hawana akili ya maana zaidi ya kusifia matope ya bibi yao ,ndo kiapo walicholishwa usiiumize kichwa kuelemisha watu wajinga kama huyo
 
Katiba ya hovyo, Ingetakiwa sasa awe Jambiani akiwalea wajukuu.

Han uwezo w ku-deal na changamoto kutoa kauli, kuongoza Taifa.
Hili ukilisema utasikia nani kama mama rais asiwezia kutumia hata 1% kutatua changamoto zetu badala ya anafikiria vitu vyepesi vyepesi ,tu kuna siku hata wanaomtetea watachoka kwa kweli
 
Wivu tu tunataka mkataba tunataka DP World apewe bandari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…