Wewe acha kujipendekeza Kwa mwarabu hata hufanani nao mtu mwenyew mweusi furukobe au kuvaa KOBAZI nawe umejiona mwanafamilia?Mwaka huu mtajamba sana mana wizi wenu bandarini unaelekea mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe acha kujipendekeza Kwa mwarabu hata hufanani nao mtu mwenyew mweusi furukobe au kuvaa KOBAZI nawe umejiona mwanafamilia?Mwaka huu mtajamba sana mana wizi wenu bandarini unaelekea mwisho
Hivi kwa nini wazee wasiingilie kati hili swalaMama hatoshi kwenye hiyo nafasi
We unanijua? Au shida zako na mastress yako unadhani yatapinguzwa kwa kukataa huu uwekezaji. Acha kucheza ngoma usiyoijua. Wenzako akina slaa wameshachukua Chao ndo mana wanaropoka ovyoWewe acha kujipendekeza Kwa mwarabu hata hufanani nao mtu mwenyew mweusi furukobe au kuvaa KOBAZI nawe umejiona mwanafamilia?
Division 1 of 7 points kama wewe si ajabu kukuta umevaa socks imetoboka au inanuka mtambo.Tunajuta kuwa na rais form four failure
Mahakama gani hizi alizosema Rost tamu.Mahakama yamehitisha suala la Bandari lakini wewe unaendeleza porojo! Yaani unapingana na mahakama halali.
Kenge wewe
Kweli kabisa!Sikiliza wewe uliyekosa adabu na akili.kwa Taarifa yako ni kuwa Rais samia ndiye Rais bora kabisa tuliye naye kwa sasa katika Bara hili la Afrika kwa sasa ni kiongozi wa mfano na kuigwa ,ni kiongozi anayeishi mbele ya wakati na mwenye maono ya mbali. Ni kwa ushujaa wake na upeo wake mkubwa wa kimaono na kiuongozi ndiyo maana ametuvusha kama Taifa katika nyakati zote ngumu ambazo Dunia imezipitia na kutetemeshwa ,lakini Rais samia alisimama imara na kutuvusha
Rais wetu msomi wa PhD tena ya Chuo kikuu cha Kikwete (UDSM)kama darasa la Saba Msukuma amepewa udr itakuwaje Kwa form four failure?
Huelewa hata maana ya uchumi dhaifu. Una upeo mdogo sana katika mambo mengi. Nikupe mfano mdogo unaoendana na kiwango chako cha uelewa:Andiko lako na mifano yako haina uhalisia wala hauendani na kile ulichotaka kukiwasilisha hapa jukwaani,umeongea uongo na upotoshaji mtupu.
Habari za kusema uchumi wetu ni dhaifu hapa naona aidha huna takwimu sahihi au umeamua kujipa upofu wa akili na macho,kwa kuwa ukuaji wa uchumi wetu ni mzuri sana na unaendelea kufanya vizuri sana mpaka Taasisi kama IMF na WB zilitupongeza waziwazi kama nchi, tumeshuhudia miradi mbalimbali ya kimaendeleo ikifanyika nchini, wawekezaji waliongezeka kila siku, mzunguko wa fedha Mitaani ukiwa ni wenye afya, shughuli za kiuchumi na kibiashara zikiongezeka kila iitwayo leo ,jambo lililopelekea kuongezeka kwa fursa za ajira kwa vijana pamoja na kuongezeka kwa mapato ya kikodi kufikia Trilioni mbili kwa mwezi.
Kwa Taarifa yako hakuna Taifa lolote linaloweza kuvumilia wala kuwavumilia wahuni na watu aina ya akina Mdude,hakuna Taifa hilo la kijinga hapa Duniani ambalo linaweza kuwafumbia macho watu wanaofanya matendo ya kihaini kwa kupanga , kuchochea, kuhamasisha na kushawishi watu waipindue serikali halali iliyopo madarakani.Hao wababaishaji wataendelea kusota ndani ili wajibu vizuri juu ya matamko yao ya kijinga.
Habari za matamko au nyaraka kutoka Taasisi au nchi au jumuiya yoyote ile hayawezi iteteresha wala itetemesha serikali yetu wakati inajuwa hatari ya maneno ambayo yanatolewa na wahuni wachache wanaotaka kuleta machafuko nchini,.yeyote atakaye kwenda kinyume na sheria zetu atawajibishwa kwa mujibu wa sheria .Hakuna aliye juu ya sheria na hakuna atakaye achwa pasipo kuchukuliwa hatua.Nchi yetu ni huru na ina sheria zake na haihitaji kuomba ruhusa kutoka popote pale au kufundishwa namna ya kuongaza Taifa letu.suala la usalama na maslahi ya Taifa letu lipo mikononi mwetu kama Taifa na hivyo yeyote yule kutoka nje ya nchi yetu hawezi kuibabaisha serikali yetu.
Kama mnatoa lugha za kichochezi ili mje mtetewe na hao mnao waabudu basi mjue ya kuwa serikali yetu ni imara, madhubuti na shupavu,ambapo haitamuonea mtu haya katika kumuwajibisha na kumchukulia hatua kali za kisheria .wahuni kama akina Mdude lazima wafundishwe adabu na namna ya kutii sheria zetu.
Wakili wangu[emoji1544][emoji1550]Tunajuta kuwa na rais form four failure
u-Dr kitu gani, hivyo vitu unapewa tu., alipewa Msukuma sembuse huyo mam.sio kweli!
ndo angepewa u-Dr?
Si ndo maana alimtuma Dr mwenzake Msukuma kwenda kuupitia ule mkataba Dubai?u-Dr kitu gani, hivyo vitu unapewa tu., alipewa Msukuma sembuse huyo mam.
Hao wazee tayari wameshaingilia kati hilo swala na sasa kinachofata ni kupandishwa Mahakamani huko mbeyaHivi kwa nini wazee wasiingilie kati hili swala
Mkuu si kwamba watu hawajui ubovu wa mkataba, tatizo ni ndoana iliyomezwa, haitoki bila kumwumiza aiyeimeza.Hakuna kazi hata moja iliyowahi kukosa changamoto. Iwe ni Urais, Uwalimu, Udaktari, Ukulima, Biashara na Uwekezaji, Udereva, Uhandisi, Uchungaji au Ushekhe, Uwanafunzi, au nyingine yoyote, isiyo na changamoto, japo uwingi na uzito wa changamoto hutofautiana.
Na wanaofanikiwa, siyo watu wanaokosa changamoto, bali ni watu wenye kutafuta majibu sahihi ya changamoto zinazowakumba.
Kinachowatofautisha wanaofanikiwa na wanaoanguka, ni uwezo wa kutafuta majibu ya changamoto, zinapojitokeza. Kwenye utatuzi wa changamoto, kuna makundi matatu:
1) Wapo ambao wakipata tu changamoto, hawatafuti majibu ya changamoto, hunyosha mikono na huishia hapo hapo. Hawa huwa wafu wa mafanikio.
2) Wapo wanaotafuta suluhu za mkato, wakakosa hekima, maarifa, ujuzi na tafakari, huishia kutafuta suluhu za changamoto ambazo huleta madhara mabaya zaidi hata kuzidi changamoto walizotaka kuzitatua.
3) Wapo wanaotafuta suluhisho la changamoto zinazowakumba, hutafuta suluhisho sahihi, huzivuka changamoto, na huibuka wakiwa washindi. Hawa ndio watu wenye mafanikio siku zote.
Bahati Mbaya, Rais wetu Samia Suluhu Hassan, anaangukia kwenye kundi ka pili. Yaani mtu anayetafuta suluhisho la matatizo kwa kuzalisha matatizo makubwa zaidi maradufu ya tatizo analotaka kulitatua. Amekuwa kama dereva wa lorry lililobeba shehena kubwa ya mzigo wenye thamani kubwa, linalopanda mlima wenye utelezi ambao upande mmoja wa barabara ni mlima mrefu, na upande wa pili ni gema refu kuelekea korongoni (sawa na yale makorongo ya milima ya Lukumburu, kama unaelekea Songea). Mlima una utelezi, dereva anawaomba watu walisukumie lorry kwenye korongo refu ili kuukwepa utelezi. Na kwa kufanya hivyo anaamini ametatua tatulizo la kuupanda mlima wenye utelezi, asijue kuwa kwa kusukumia lorry korongoni, ameliua lorry, ameteketeza shehena yenye thamani, na lorry halitaweza kuendelea na safari.
Kuna tatizo kubwa kwenye mkataba wa bandari wa DP, ambalo ni uhovyo na ushenzi wa mkataba. Rais Samia haumizwi na ubovu wa mkataba, anaumizwa na sauti za wanaolalamikia uhovyo wa mkataba. Hahangaiki na kutatua uhovyo wa mkataba, bali anahangaika kuzima sauti za wanaolalamikia mkataba wa hovyo. Kwake kuwakamata Dr. Slaa, Mwambukusi na Mdude na kuwabambikia kesi za uhaini anaona ametatua tatizo la kusikia kelele zinazokosoa uhovyo wa mkataba. Hajui wala hatambui kuwa kwa kufanya hivyo anatengeneza matatizo makubwa zaidi dhidi yake na Serikali yaje kuliko hata uhovyo wa mkataba. Sasa afahamu kuwa:
1. Kelele dhidi ya mkataba wa kishenzi wa DP, zitaongezeka kutoka ndani ya nchi.
2) Kelele dhidi ya udikteta wa utawala wake zimeanza kutoka ndani ya nchi na jamii ya kimataifa. Tayari Amnesty International wamelaani maamuzi yake, Human Rights Watch wamepaza sauti dhidi ya utawala wake. Siku si nyingi kutakuwa na kauli toka Jumuiya ya Ulaya na Marekani.
3) Taasisi zote ambazo hutoa misaada na mikopo kwa sharti nchi iwe na mfumo wa utawala unaoheshima demokrasia, uhuru wa maoni na haki za binadamu, hazitatoa msaada wala mkopo kwa Serikali ya Samia. Ni suala la wakati tu.
4) Hata ambao hawakuwahi kujua uhovyo wa mkataba wa DP, watafahamu sasa kutokana na hizo kesi za kubambikia watu, na matamko ya taasisi za jamii ya kimataifa.
5. Uchumi ambao tayari ni legelege utalegea zaidi kwa sababu hakuna mwekezaji makini anayeweza kwenda kuwekeza mahali ambapo unaweza kubambikiwa kesi na Serikali wakati wowote.
Rais Samia badala ya kutafuta msaada wa kusukuma gari liupite utelezi, ametafuta watu wa kumsaidia kulisukumiza lorry korongoni.
Yeye mwenyewe alisema hadharani, nikupe link?Huna adabu wala hujitambui wewe. Umekosa malezi bora ya wazazi wako ndio maana unaandika kwa kuropoka tu.
Katiba ya hovyo, Ingetakiwa sasa awe Jambiani akiwalea wajukuu.Hakuna kazi hata moja iliyowahi kukosa changamoto. Iwe ni Urais, Uwalimu, Udaktari, Ukulima, Biashara na Uwekezaji, Udereva, Uhandisi, Uchungaji au Ushekhe, Uwanafunzi, au nyingine yoyote, isiyo na changamoto, japo uwingi na uzito wa changamoto hutofautiana.
Na wanaofanikiwa, siyo watu wanaokosa changamoto, bali ni watu wenye kutafuta majibu sahihi ya changamoto zinazowakumba.
Kinachowatofautisha wanaofanikiwa na wanaoanguka, ni uwezo wa kutafuta majibu ya changamoto, zinapojitokeza. Kwenye utatuzi wa changamoto, kuna makundi matatu:
1) Wapo ambao wakipata tu changamoto, hawatafuti majibu ya changamoto, hunyosha mikono na huishia hapo hapo. Hawa huwa wafu wa mafanikio.
2) Wapo wanaotafuta suluhu za mkato, wakakosa hekima, maarifa, ujuzi na tafakari, huishia kutafuta suluhu za changamoto ambazo huleta madhara mabaya zaidi hata kuzidi changamoto walizotaka kuzitatua.
3) Wapo wanaotafuta suluhisho la changamoto zinazowakumba, hutafuta suluhisho sahihi, huzivuka changamoto, na huibuka wakiwa washindi. Hawa ndio watu wenye mafanikio siku zote.
Bahati Mbaya, Rais wetu Samia Suluhu Hassan, anaangukia kwenye kundi ka pili. Yaani mtu anayetafuta suluhisho la matatizo kwa kuzalisha matatizo makubwa zaidi maradufu ya tatizo analotaka kulitatua. Amekuwa kama dereva wa lorry lililobeba shehena kubwa ya mzigo wenye thamani kubwa, linalopanda mlima wenye utelezi ambao upande mmoja wa barabara ni mlima mrefu, na upande wa pili ni gema refu kuelekea korongoni (sawa na yale makorongo ya milima ya Lukumburu, kama unaelekea Songea). Mlima una utelezi, dereva anawaomba watu walisukumie lorry kwenye korongo refu ili kuukwepa utelezi. Na kwa kufanya hivyo anaamini ametatua tatulizo la kuupanda mlima wenye utelezi, asijue kuwa kwa kusukumia lorry korongoni, ameliua lorry, ameteketeza shehena yenye thamani, na lorry halitaweza kuendelea na safari.
Kuna tatizo kubwa kwenye mkataba wa bandari wa DP, ambalo ni uhovyo na ushenzi wa mkataba. Rais Samia haumizwi na ubovu wa mkataba, anaumizwa na sauti za wanaolalamikia uhovyo wa mkataba. Hahangaiki na kutatua uhovyo wa mkataba, bali anahangaika kuzima sauti za wanaolalamikia mkataba wa hovyo. Kwake kuwakamata Dr. Slaa, Mwambukusi na Mdude na kuwabambikia kesi za uhaini anaona ametatua tatizo la kusikia kelele zinazokosoa uhovyo wa mkataba. Hajui wala hatambui kuwa kwa kufanya hivyo anatengeneza matatizo makubwa zaidi dhidi yake na Serikali yaje kuliko hata uhovyo wa mkataba. Sasa afahamu kuwa:
1. Kelele dhidi ya mkataba wa kishenzi wa DP, zitaongezeka kutoka ndani ya nchi.
2) Kelele dhidi ya udikteta wa utawala wake zimeanza kutoka ndani ya nchi na jamii ya kimataifa. Tayari Amnesty International wamelaani maamuzi yake, Human Rights Watch wamepaza sauti dhidi ya utawala wake. Siku si nyingi kutakuwa na kauli toka Jumuiya ya Ulaya na Marekani.
3) Taasisi zote ambazo hutoa misaada na mikopo kwa sharti nchi iwe na mfumo wa utawala unaoheshima demokrasia, uhuru wa maoni na haki za binadamu, hazitatoa msaada wala mkopo kwa Serikali ya Samia. Ni suala la wakati tu.
4) Hata ambao hawakuwahi kujua uhovyo wa mkataba wa DP, watafahamu sasa kutokana na hizo kesi za kubambikia watu, na matamko ya taasisi za jamii ya kimataifa.
5. Uchumi ambao tayari ni legelege utalegea zaidi kwa sababu hakuna mwekezaji makini anayeweza kwenda kuwekeza mahali ambapo unaweza kubambikiwa kesi na Serikali wakjukuu to wowote.
Rais Samia badala ya kutafuta msaada wa kusukuma gari liupite utelezi, ametafuta watu wa kumsaidia kulisukumiza lorry korongoni.
Huku wala hajishughulishi yeye anataka ready made money akiKAA HIVI TOZO ,MIamal ya Simu mafuta ,lukuPesa ziko humu humu. Geita gold, kahama gold, sijui Mara gold hizi Ni pesa tumezigawa kwa wazungu. Bado Kuna zile tunawapa wazungu bure Kama fidia ya mikataba ambayo tunasaini huku tunakunywa wiski.
Wahuni na wezi wanasema huyu ndo raisi sasa ,Rais wa hovyo kuwahi kutokea sio Afrika tu huenda dunia nzima.
Halafu NEPI anasema tumkosea kwa staha ,mwizi wa mali za ummaHuyu mama kuna jambo analificha ile mikataba aliyosaini utadhani anauza nguo zake kalikosea sana taifa huyu mzanzibar.