Rais Samia fanya hili ili ukali wa gharama za maisha uwe historia Tanzania

Rais Samia fanya hili ili ukali wa gharama za maisha uwe historia Tanzania

Ay
Kama unataka kuitumia huo uwezo wa kuichimba unao? au mpaka umuite mwekezaji atakayekuja kuchimba kwa gharama zake matokeo yake ajipangie bei yake ili arudishe pesa zake?

Suala sio Mungu kuweka, issue ni uwezo wa kukitumia kile alichokupa Mungu effectively kwa manufaa ya watu wako, tunaweza? think man.

Mfano hiyo gas huko Songas toka ianze kuchimbwa umewahi kuona bei yake ikishuka? think aisee..
Hivi hawa wabunge mawaziri wasipolipwa mwezi mmoja tu tuchangie gharama za gas watakubali kweli? ili tusikope


Na huo mradi wa kuchimba gas ni pesa ngapi kwann tunakopa kujenga SGR ilihali hakuna mizgo wowote au mazao yalioshindwa fika sehemu yoyote malori yapo ya kumwaga...tukiacha baadhi ya miradi kwa muda pesa ikaenda one way kwenye gas still haitoshi

Wasilipwe wabunge, mawaziri, wala ziara yoyote isiwepo just for one month
 
sio kwamba hatuna Gesi ya kutumia kwenye vyombo vyetu vya moto! Hapana

Nishati tunayo tena nyingi sana! Visima vya Songosongo na Mnazi Bay vinatoa Gesi nyingi sana ambayo kiukweli hadi sasa hatuitumii vizuri! Matumizi ya Gesi kwetu Tanzania ni madogo sana kulinganisha na hifadhi tuliyokuwa nayo ambayo imeshaanza kuchimbwa

Suala linalotakiwa sasa ni kuhimiza uwekezaji massively kwenye hii sekta, serikali na wawekezaji wakarinishwe kujenga miundombinu na pipelines mikoa yote Tanzania ili hii rasilimali ianze kutumika kama inavyopaswa na kushusha gharama za maisha
Ujenge pipe gas ni yenu😁 ungejua mkataba ni miaka mingapi wala usingekaa ukataja gas miaka yako yote
 
Ay

Hivi hawa wabunge mawaziri wasipolipwa mwezi mmoja tu tuchangie gharama za gas watakubali kweli? ili tusikope


Na huo mradi wa kuchimba gas ni pesa ngapi kwann tunakopa kujenga SGR ilihali hakuna mizgo wowote au mazao yalioshindwa fika sehemu yoyote malori yapo ya kumwaga...tukiacha baadhi ya miradi kwa muda pesa ikaenda one way kwenye gas still haitoshi

Wasilipwe wabunge, mawaziri, wala ziara yoyote isiwepo just for one month
Pesa nyingi zinahitajika kwenye kuchimba hiyo gas, last time kama sijakosea niliona ita cost milions of dollars, sio pesa zetu za madafu.
 
sio kwamba hatuna Gesi ya kutumia kwenye vyombo vyetu vya moto! Hapana

Nishati tunayo tena nyingi sana! Visima vya Songosongo na Mnazi Bay vinatoa Gesi nyingi sana ambayo kiukweli hadi sasa hatuitumii vizuri! Matumizi ya Gesi kwetu Tanzania ni madogo sana kulinganisha na hifadhi tuliyokuwa nayo ambayo imeshaanza kuchimbwa

Suala linalotakiwa sasa ni kuhimiza uwekezaji massively kwenye hii sekta, serikali na wawekezaji wakarinishwe kujenga miundombinu na pipelines mikoa yote Tanzania ili hii rasilimali ianze kutumika kama inavyopaswa na kushusha gharama za maisha
Tusidanganyane, bei kubwa ya gas ndio inayosababisha matumizi yake yawe madogo kwa watumiaji.
 
Tumeanza kwenye nishati ya kupikia. Nina uhakika litaokoa sana miti yetu na mazingira yetu miaka ijayo, sasa twende kwenye vyombo vya moto ili tuokoe kuongezeka kwa gharama za maisha
Anzia Morogoro Mikese hadi Ubena tazama miti inavyo katwa kwaajili ya mkaa kipindi hiki utaona ni kama mamlaka za misitu zimekufa zote
 
Anzia Morogoro Mikese hadi Ubena tazama miti inavyo katwa kwaajili ya mkaa kipindi hiki utaona ni kama mamlaka za misitu zimekufa zote
Huo ndo ukweli
Tanzania kwa sasa ni kama mamlaka za misitu zimekufa

Nchi nzima sasa wafugaji wa kisukuma na kimasai wameachwa tu kumaliza miti. Miaka si mingi sana nchi hii itakuwa na uhaba wa mvua na chakula usio wa kawaida
 
Huo ndo ukweli
Tanzania kwa sasa ni kama mamlaka za misitu zimekufa

Nchi nzima sasa wafugaji wa kisukuma na kimasai wameachwa tu kumaliza miti. Miaka si mingi sana nchi hii itakuwa na uhaba wa mvua na chakula usio wa kawaida
🙏
 
Hapo naona lazima ufanyike utaratibu utakaozuia kuagiza vyombo vya moto vinavyotumia mafuta then tuanze kuagiza vinavyotumia gas, hili litachukua muda.
Siyo lazima kuagiza magari ya mfuko wa gesi. Haya haya anayotumia huwa yanarekebishwa na kuwekewa mfumo wa gesi ambao unakuruhusu pia kutumia mafuta unapoishiwa gesi ukiwa barabarani! DIT wanafajya hiyo kazi ya kurekebisha mifumo. Labda sema wawe na bei rafiki!
 
Pesa nyingi zinahitajika kwenye kuchimba hiyo gas, last time kama sijakosea niliona ita cost milions of dollars, sio pesa zetu za madafu.
gharama ya nradi ni $40million ni sawa na triilion 92. Hadi ije kurudi hiyo pesa huenda ikachukua miaka 100
 
Back
Top Bottom