Rais Samia: Fedha za Mauzo ya Mazao ya Kilimo Kama Kahawa Zitatusaidia Kuondoa Utegemezi wa Mikopo Yenye Masharti Kutoka Nje.

Rais Samia: Fedha za Mauzo ya Mazao ya Kilimo Kama Kahawa Zitatusaidia Kuondoa Utegemezi wa Mikopo Yenye Masharti Kutoka Nje.

Si kahawa tu, Hiyo kipato ya mazao yooote kwa mwaka mzima hayakidhi hata Bajeti ya vitafunwa vya Wabunge wake.
Sio rahisi hivyo au alikua anazingumza na Wamama wa Vikoba maana niliona video mwenzao mmoja anawamotivate ati alikua anasafirisha order za mchicha mpaka Ulaya anapigiwa simu tu.
#Wajinga ndio waliwao.
 
Si kahawa tu, Hiyo kipato ya mazao yooote kwa mwaka mzima hayakidhi hata Bajeti ya vitafunwa vya Wabunge wake.
Sio rahisi hivyo au alikua anazingumza na Wamama wa Vikoba maana niliona video mwenzao mmoja anawamotivate ati alikua anasafirisha order za mchicha mpaka Ulaya anapigiwa simu tu.
#Wajinga ndio waliwao.
Uongo Wacha kuropoka
 
Akizjnhumza baada ya Kutembelea Shamba la Kampuni ya Aviv Tanzania Limited,Rais Samia ameonesha kufurahishwa na mafanikio ya sekta ya Kilimo hususani zao la Kahawa.

Rais amesema kwamba uwekezaji kwenye sekta ya Kilimo ukiofanywa na Serikali yake umeanza kuzaa matunda kwani uzalishaji wa kahawa umeongezeka kutoka tani 65,000 Hadi 80,000 na kwamba mauzo ya bidhaa za kahawa Nje ya Nchi itazalida Dola 250(zaidi ya Bilioni 600) ambazo pengine Serikali ingekopa hivyo kutoa wito kuongeza uzalishaji wa mazao ya Kilimo kibiashara Ili kupunguza utegemezi wa mikopo Nje ya Nchi.

View: https://www.instagram.com/p/DATOLzwCZmZ/?igsh=cnp4NXY1bXFlZnI5

My Take
Naunga mkono hoja.Serikali ie deles kuwekeza zaidi kwenye sekta ya Kilimo kwani Ina nafasi ya kuipatia Nchi pesa Nyingi zaidi kuliko sekta zingine.

Hii ni njia sahihi ikiwa Serikali imegundua hili so Wizara ya Mipango ihakikishe kunakuwa na consistency sio Kila Rais anakuja na vipaombele vyake.Mfano huyu Kilimo mwingine madaraka, hatuwezi kumaliza umaskini bila kuwa na muendelezo wa vipaombele vyenye Tija.

Samia Anatosha na chenji inabaki.Tuwakatae Mabeberu na vibaraka wao.

Athubutu ,we kuweza?
 
Ukiwa mnyonyaji wa haki za binadamu hata hayo mazao hutaweza kuyauza nje zaidi ya kula kwako, Venezuela wanapumulia machine licha ya kuwa na mafuta kuliko nchi yoyote kisa upumbavu wa wanasiasa. CCM wasipobadirika nchi inakwenda kuanguka.
 
Ukiwa mnyonyaji wa haki za binadamu hata hayo mazao hutaweza kuyauza nje zaidi ya kula kwako, Venezuela wanapumulia machine licha ya kuwa na mafuta kuliko nchi yoyote kisa upumbavu wa wanasiasa. CCM wasipobadirika nchi inakwenda kuanguka.
Kula ni lazima ila Mafuta sio lazima.
 
Afrika inahitaji ukombozi wa Uchumi sio hadithi za Demokrasia.

Watu hawatakula Demokrasia Wala hiyo Demokrasia haiwezi ondoa utegemezi Kwa Mabeberu,Nguvu kubwa ielekezwe kwenye sekta Zenye Tija kiuchumi kama Kilimo
Ipo siku mtaamka na kuelewa kuwa hiyo ni nadharia batili.

Kwa nyakati hizi endeleeni kusherehekea huo uongo wa kuona demokrasia ni kinyume cha maendeleo.

Kama alivyotaka Magufuli na madikteta wote wa Afrika. Mtajikuta mnahangaika na propaganda za kila aina kuhalalisha mikwamo.
 
Ipo siku mtaamka na kuelewa kuwa hiyo ni nadharia batili.

Kwa nyakati hizi endeleeni kusherehekea huo uongo wa kuona demokrasia ni kinyume cha maendeleo.

Kama alivyotaka Magufuli na madikteta wote wa Afrika. Mtajikuta mnahangaika na propaganda za kila aina kuhalalisha mikwamo.
Kwa hiyo watu watashiba Demokrasia? 😬😬
 
Kula unafikiri unazalisha peke Yako mkuu masoko ni mengi ila vipaumbele ndivyo vinakupa nafasi.
Masoko Makuu ya bidhaa za Tanzania ni Africa huko Kwa bwana zenu Mabeberu ni ziada hususani bidhaa za mboga mboga.

Kwa taarifa Yako tuu Afrika inawork on ukanda huru wa biashara Ili Kukomesha huu ujinga wa kudhani bidhaa zinatakiwa kuuzwa Ulaya tuu.

Eg mnunnuzi.mkui wa maziwa ya Uganda ni Kenya,kahawa Nigeria.

Mteja Mkuu wa mchele wa Tanzania ni Uganda na hata source 5 za Watalii wa Tanzania ni Kenya.

So acha kukariri Africa inaweza kwenda bila Wazungu na wao ndio wanatuhitaji kuliko sisi kuwahitaji.
 
Masoko Makuu ya bidhaa za Tanzania ni Africa huko Kwa bwana zenu Mabeberu ni ziada hususani bidhaa za mboga mboga.

Kwa taarifa Yako tuu Afrika inawork on ukanda huru wa biashara Ili Kukomesha huu ujinga wa kudhani bidhaa zinatakiwa kuuzwa Ulaya tuu.

Eg mnunnuzi.mkui wa maziwa ya Uganda ni Kenya,kahawa Nigeria.

Mteja Mkuu wa mchele wa Tanzania ni Uganda na hata source 5 za Watalii wa Tanzania ni Kenya.

So acha kukariri Africa inaweza kwenda bila Wazungu na wao ndio wanatuhitaji kuliko sisi kuwahitaji.
Wewe unahisi Iran ban ya kuuza mafuta ni kwa mabeberu tu? Mafuta ya Iran hata urus, china ama India hachukui. Vivyo hivyo Venezuela hawezi kuuza mafuta kwa marafik zake Urusi.
 
No way out Cha msingi ujinga ukomeshwe.
Kwani Kukomesha ujinga ni kuchagua Machadema?

Mkiboronga mtatolewa kama huyu wa Zambia anaetapatapa.

Mwisho beberu hatowapigia kura kwamba mshinde hapa Tanzania elewa hilo
 
Wewe unahisi Iran ban ya kuuza mafuta ni kwa mabeberu tu? Mafuta ya Iran hata urus, china ama India hachukui. Vivyo hivyo Venezuela hawezi kuuza mafuta kwa marafik zake Urusi.
Mbona Iran anaendelea kuuza Mafuta huko? Venezuela shida anayoipata ni Kwa sababu kampuni zilizokuwa kule 90% ni za Mabeberu ndio kwanza wanajitafuta Ili wapate kampuni zingine
 
Mbona Iran anaendelea kuuza Mafuta huko? Venezuela shida anayoipata ni Kwa sababu kampuni zilizokuwa kule 90% ni za Mabeberu ndio kwanza wanajitafuta Ili wapate kampuni zingine
Iran anauza mafuta kwa njia za panya kama bangi
 
Iran anauza mafuta kwa njia za panya kama bangi
Si anauza lakini? Hata Venezuela anatakiwa aimarishe uwezo wake wa Kijeshi ndio atakuwa na uamzi.

Tanzania na sisi tunaendelea kujiimarisha kimedani Ili tusipangiwe na Mabeberu.

Vibaraka wao hamtopata nafasi.
 
Si anauza lakini? Hata Venezuela anatakiwa aimarishe uwezo wake wa Kijeshi ndio atakuwa na uamzi.

Tanzania na sisi tunaendelea kujiimarisha kimedani Ili tusipangiwe na Mabeberu.

Vibaraka wao hamtopata nafasi.
Wewe unafikiri Dunia inaongozwa kwa nguvu ama akili?
 
Back
Top Bottom